mm nahisi pengine kwa vile mijini hakuna miti mingi ukitaka kuamini chunguza wengi hupigwa na radi wakiwa chini ya miti huko mashambani wakiandaa hayo mashamba,NI MTAZAMO TU
kiukweli hakuna yani tena naona bora zote kuliko hiyo wanayoitaa ya TAIFA haina ratiba maalum movie wanazoonyesha za kishamba yani hamna kitu kabsaaaaaa
Habari wana JF,
Mimi ni msichana ambaye nimeanza mahusiano muda mrefu kidogo,ila tatizo nalopata kwa mwenza wangu ni kwamba anachelewa kufika kileleni kiukweli nainjoy round ya kwanza lakini tukiendelea mhh si chini ya dk 45 mpaka 50 on top.
Na pengine asi score pls kwa yeyote anaweza kutoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.