Me nilidhani lengo lako la kumdukua unatafuta sababu ya kumuacha, kama unataka kuendelea na mwanamke usimchunguze karibu kila demu anacheat wanatofautiana viwango tu kikubwa ni kuangalia mwenye foleni ndogo
Heavy Weight
Me nadhani ungejaribu kuuliza wanatumia utaratibu gani kutoa wanafunzi bora kitaifa kuliko ulivyoingiza wasi wasi wako moja kwa moja kuamini kuwa kuna uhuni unafanyika.
Kwa ambao tunajua utaratibu wa ile shule hatuna haja ya kutilia shaka ufaulu wao. Sana sana tunaweza kuuliza kwanini...
Habari za jumapili ndugu wana JF, natumai mpo salama salmini.
Kutokana na takwimu zinazoonekana inaonesha Njombe ikiwa na asilimia kubwa ya maambukizi ikifuatiwa na Iringa na Mbeya.
Zanzibar inaonesha kukiwa na asilimia ndogo zaidi ya maambukizi ya VVU.
Sijajua ni namna gani takwimu hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.