Mimi ni mgonjwa wa tumbo toka 2013. Niliwahi kwenda hospital Moro kwa deside nikapiga ultra sound na kuambiwa hamna kitu, nikapewa dawa zikanisaidia kiasi na ulabu nikawa nimesimama. Nilivyo kaa kama mwezi nikaanza kunywa tena, likaanza kutibuka tena, nikaenda Dar kufanya kipimo kilekile...
SOGHOO
ttzo ni pale unapo jinyima na kuamua kunnua umeme ili ufanye shughul za uzalishaj tena anakuja boya na kukata umeme bila taarifa hii inaudh raia amken tuondoe utawara huu dhalim,maana hii ni tanescoccm
hapa gairo,kongwa mpaka panda mbili wameukata kisa lowasa anatubu kuachana na ufisadi na itv inaonyesha live,ila nimependa mshikaj flan hapa kawasha genetetor
lazima ujue oil viscocity ni ngapi kabla ya kutumia engine oil vinginevyo maisha ya engine yako yatakuwa mafupi kutokana na viwango vidogo vya engine oil
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.