Ni Alhamis nyingine kwa majira ya Afrika Mashariki, ni siku mpya nyingine iliyoanza kwa mawingu na kimvua kwa mbali kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam
Basi hatuna budi kumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama na kutuwezesha kupigania pumzi nyingine
Vivyo hivyo aende kutubariki katika siku ya...
Kama Demu ako anaitwa Brenda, ni mrefu, mwembamba, mweupe na anasafiri kwenda Arusha kapanda Basi la Kilimanjaro
Namuona hapa anaongea na jamaa mwingne pembeni yake tokea safari imeanza, Na wameshabadilishana namba za Simu, Wamenunua keki njiani wanalishana na wanacheka kwa raha zao
Bahati...
Hisia za KATUNI....
Inaaminika kwamba katuni ya kwanza kuchapishwa kwenye jarida nchini marekani ni katuni iliyopewa jina la Join or die iliyochorwa na Benjamin Franklin baba wa Taifa la Marekani. Katuni hiyo ilionesha nyoka aliyekatwa vipande vipande nane, huku vipande hivyo vikipewa majina ya...
Wengi mlikua hamjui maana ya neno BANGI, Sasa leo ngoja niwape Elimu kidogo kuhusu hii kitu.
*BANGI* ni jani la mgomba linalochanua kwenye mbuyu kupitia treni kabla hujaumwa kwenye mafuta ya samaki na kupokea injini ya baiskeli iliyopita angani na mvua ikawaka juu ya jua.
Asanteni kwa...
Kwa nini wanalia?
Mtoto alimuuliza mamake kwa nini unalia? Akajibu kwa sababu mimi ni mwanamke. Akasema mtoto mimi si afahamu.
Mama akamkumbatia mtoto wake na kumwambia: si rahisi kunielewa. Kisha mtoto akamfuata babake na kumuuliza: kwa nini mama analia bila sababu?
Baba akajibu: wanawake...
Baadhi ya wanawake wa Rombo inadaiwa wanakodi wanaume kutoka Kenya ili kufanya nao ngono kutokana na tabia za ulevi za wanaume wao kuzidiwa ulevi na kushindwa kufanya tendo la ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.