Search results

  1. mahershalalhashbaz

    TANZIA Kaoge afariki dunia

    Kama alikua hajaoga mpk umaut wk bhaaas ht pakumuekeza pa kupumzikia cpajui
  2. mahershalalhashbaz

    Rais Magufuli aungana na Watanzania kulaani tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu

    Asante Rais wng, naungana nawe kwa mikono miwili kwa moyo wako wa upendo kwa watu wote bl ubaguzi. Mungu amponye tuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mahershalalhashbaz

    Msichana wangu kanipa kisonono, nimuache au niendelee naye?

    Endelea km hiyo hajakutosha tu Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mahershalalhashbaz

    Ndege mpya ya Askofu Gwajima aina ya Gulfstream N60983 (Business jet)

    Mtumishi wa Mungu hajapotea ila mjadala alishaufunga kabisa. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. mahershalalhashbaz

    Yahweh ni jina la Mungu?

    Akamuulize Nebukadneza Mungu ni nani? Jina la Yahweh lina nguvu na linajitegemea lenyewe bl sapoti yoyote. NB Jina la Mungu ni la Kuheshimiwa popote. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mahershalalhashbaz

    Onyo kwa mawakili wote wanaopanga kuandamana kesho kwa ajili ya Lissu

    Unakosea sn kumuita mtu km lissu teja, Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mahershalalhashbaz

    Onyo kwa mawakili wote wanaopanga kuandamana kesho kwa ajili ya Lissu

    Mmmh!! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mahershalalhashbaz

    TANZIA: Kifo cha mwanaJamiiForums mwenzetu Ibra87, mtunzi wa riwaya inayopendwa "Nitakupata tu"

    Jamani hakka duniani tu wapitaji tuu, na kl kicho kizur hakidumu, Wengi walikupenda sn kwa jinsi ulivyo share nao mawazo, riwaya tam ulizo wasimulia nk lkn Mungu amwkupenda zaid ndg yt. Mungu alitwaa na Mungu ametwa jina lk libarikiwe, poleni members wote pmj na familia.
  9. mahershalalhashbaz

    Tahadhari: Kuweni makini sana na wahudumu wa bank

    Usiondoke counter bl kuhakiki pesa zako jomba. Pesa ni pesa tu haina asiyeitaka.
  10. mahershalalhashbaz

    Mwigulu amng’ang’ania Lema mauji Kibiti

    Jamani mauaji ya kitbiti ni tishio la amani ya taifa hili, Mungu aingilie kati kwa kusimamisha watu watakao weza kumaliza hili jambo kwa utulivu bl kuingiza chuki za watu/vyama n.k. nimechungulia tuu!!!!
  11. mahershalalhashbaz

    Polepole hana kazi kule Lumumba?

    Hata aibu hamuoni jmn? MTU kalewa namna hiyo mnamleta mbele ya mheshimiwa Ras?
  12. mahershalalhashbaz

    Wapinzani wamuumiza Spika wa Bunge

    Yangu macho tuu!
  13. mahershalalhashbaz

    Kila la kheri Mtibwa dhidi ya Yanga

    Leta matokeo mkuu
Back
Top Bottom