Asante Rais wng, naungana nawe kwa mikono miwili kwa moyo wako wa upendo kwa watu wote bl ubaguzi. Mungu amponye tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akamuulize Nebukadneza Mungu ni nani? Jina la Yahweh lina nguvu na linajitegemea lenyewe bl sapoti yoyote. NB Jina la Mungu ni la Kuheshimiwa popote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani hakka duniani tu wapitaji tuu, na kl kicho kizur hakidumu, Wengi walikupenda sn kwa jinsi ulivyo share nao mawazo, riwaya tam ulizo wasimulia nk lkn Mungu amwkupenda zaid ndg yt. Mungu alitwaa na Mungu ametwa jina lk libarikiwe, poleni members wote pmj na familia.
Jamani mauaji ya kitbiti ni tishio la amani ya taifa hili, Mungu aingilie kati kwa kusimamisha watu watakao weza kumaliza hili jambo kwa utulivu bl kuingiza chuki za watu/vyama n.k. nimechungulia tuu!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.