Mimi Kuna namba huwa naziona mara nyingi zaidi, iwe upande wa saa, mabango, nbr za gari nk nk, naona zaidi nbr 5:55 ama 911, miaka inapita na hii inajitokeza sanaa, siogopi kwa sababu zipi tena, maisha yanaendelea na naziona sana mpaka leo
Very low IQ ndio wewe, kama zamani binadamu alikuwa anaweza ishi mpaka miaka 1000, na bado afe kwa kukosa namna ya kuishi milele ije kuwa generation hii ya kuishi less than 130yrs??? Usiwe muoga wa kifo, kila nafasi itaonja umaiti, kuanzia sisimizi, tembo. nyangumi, hadi mimea na kila kilicho...
Kama uko unataka kuanza, nishauri uje nikupe sehemu, hata hiyo eka moja ulime. Eneo liko ndani kama unaelekea Soga SGR Station. Kuna maji ya bwawa, kuna water pump ya kuvuta maji kutoka bwawani ajili ya umwagilaji. Niko busy sana na kazi za mjini. Uisimamizi juu yako, na vijana wa kazi wapo...
Kuongeza ujuzi ndio jambo muhimu zaidi. Mtu ukiingia youtube mambomingisana yakujifunza bure na yana uwezo wa kumpa mtu kipato vizuri tu.
Youtube shule bora number 1 duniani. Niwewe ujue nini unatafuta kujua.
Hapo ni shida, haswa Buguruni, service road wakikukamata wanadai eti unaendesha gari kwenye njia ya waenda kwa miguu!!! Yaani askari hajui hata maana ya service road, na anasema eti ni foot path akikuandikia fine. wapuuzi sana, Iko siku traffic alinisimamisha nikiwahi matibabu hospital ya Amana...
Kuna fundi aliniambia screen ya tv yangu, samsung, imeharibika, ingawa ilikuwa ukiiwasha inaleta jina la samsung kwenye initial blue display alafu inakuwa black screen. Sasa najiuliza kama ni display mbaya, si ata ile jina la samsung lisingesoma kwenye screen. Ipo imekaa tu kwenye boksi miaka 2...
Kweli kabisa, maana kwa navyojua mimi, hata TZ tunatumia e-passport na still iko na pages za kugongewa mihuri ya entry na exit dates, sasa hii system inayosemwa ya ID as passport ndio sijui wanapigaji Visa stamp.
Labda iwe unaweza tembelea nchi jirani without passport.
NJIA 4AHISI KABISA YA KUSOMA LUGHA YEYOTE ILIO ANDIKWA SEHEMU NI KUTUMIA APP YA GOOGLE TRANSLATE.
UKIWA NAYO, NENDA OPTION YA CAMERA NA ELEKEZA KWENYE HIYO DASHBOARD YAKO NA MANENO YATAKUJA KWA LUGHA ULIOJAGUA KUTAFSIRI HICHO KIJAPAN LET'S SAY KWENDA KIINGEREZA THEN TAFUTA MENU, SETTINGS THEN...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.