Hakuna sheria inayokataza watu binafsi au kampuni kuanzisha vitengo vyenye majukumu hayo ya kuzima moto na uokoaji, ndiyo maana kuna kampuni kadhaa binafsi za ulinzi wana package hiyo katika huduma zao. i.e Garda world etc.
Haikuwahi kuwa ndani ya Jeshi la Polisi bali lilikuwa chini ya Halmashauri na gari zao zilikuwa zikitumia namba za SM.
Maoni ya kutaka kiwe kitengo ndani ya Jeshi la Polisi sio ufumbuzi bali ni kukwepa utatuzi wa tatizo.
Muhimu ni kuboresha vitendea kazi na kuongeza rasilimali watu katika Jeshi...
Umefanya kosa la kiufundi kwa kudharau wenye elimu ndogo ya darasani ukiamini ndiyo chanzo cha kuharibika kwa hiyo kesi na wahusika halisi kutotiwa hatiani.
Kitu unachotakiwa kuweka akilini ni kwamba kuna watu ni wataalamu wabobezi wa hizo shughuli lakini wala hawana elimu kubwa kama unavyotaka...
Acha upuuzi wewe chawa. Unaongea kupalilia maslahi ya tumbo lako. Kwanini umpangie mtu mzima matumizi ya pesa yake? Ni lini uliwasikia watumishi wanaomba serikali iwaletee huo utaratibu wa kinyonyaji?
Kama huna cha maana cha kusema hebu funga huo mdomo wako?
Kwa kujiita chawa imedhihirisha ni...
Nadhani ukipitia wewe ukaja kutuambia itapendeza zaidi, maana tumewahi kuwa na Luteni Karama, Captain John Komba na Inspector Haroun lakini they were never be Military Personnel
Mkuu nimesema hivyo baada ya kufuatilia ratiba za vyuo vinavyotoa Masters, kuna vyuo vina September intake na March intake.
Pia kuna vyuo vina Masters session za asubuhi na vingine wanasoma jioni tu. Kwahiyo mtu akijipanga vizuri anaweza kusoma Kozi mbili kwa wakati mmoja bila kuathiri wala...
Mkuu mbona TPDF na TPF hayaingiliani kabisa kiutendaji na kila mmoja ana job descriptions tofauti kabisa na mwenzake unless kuwe na concern ya pamoja ndiyo utaonanwanachangama.
Unadhani haijawa member kwa bahati mbaya, au kwakuwa tayari Soveregnty yake imemezwa na Muungano?
Kwanini jitihada za kujiunga na OIC ziligonga mwamba? Acha kukaza fuvu bro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.