Huwezi jua mwanao aliwasilisha vp ombi lako la kuhitaji malazi kwa family (ndugu anaoishi nao):
1. Pengine aliwaeleza wazi kuwa unatafuta lodge ya gharama ndogo, hivyo wakaona wakupe malazi ya bure kabisa ili gharama uliyokuwa ulipie chumba ikusaidie kwenye chakula, nauli za hapa na pale...
Haki za binadamu ni kwa ajili ya binadamu pekee.
Ukishakengeuka unajivua ubinadamu; hivyo utashughulikiwa kwa namna stahiki kuendana na identity mpya uliyojivika.
Ni wakati muafaka kuwaasa vijana kuzingatia maskani, vijiwe, na wenzao wanaoshirikiana nao kijamii. Nyakati kama hizi ni rahisi...
Ibada za mazishi na masomo husika ni kwa ajili ya waombolezaji walio hai. Marehemu anakuwa keshafunga vitabu vyake. Hakuna kinachoweza kusomwa kubadili namna alivyoishi au hatma ya aendako.
Kuna waumini wazuri lakini waliondoka kwa aina ya vifo visivyowezesha kuzikwa kwa heshima stahiki; mfano...
Zikizuiwa kutoa gawio itaathiri wawekezaji wao kwa kuonekana performance yao kibiashara ni dhaifu. Wawekezaji (wanahisa) watapukutika, na thamani ya hisa zao kuanguka.
Harufu mbaya kuna namna fulani mwili 'unaizoea' baada ya kuishi nayo kwa kipindi flani. Nakumbuka nikiwa naanza fom dala shule moja, palikuwa na vyoo maarufu kama milango tisa, vya shimo tu, na havina milango kabisa japo vilikuwa vinatumika, hususan mida ya usiku. Harufu ni kali; nikawa...
Mkuu, unge bainisha qualifications zako na post husika iliyosumbua kupokea Application yako, nadhani ingekuwa rahisi zaidi kutambua hitilafu inajitokeza kutoka wapi. Mfano, kuna nafasi 37 za NAOT zimetangazwa hapa juzi, lakini maelezo yaliyopo ni kuwa na shahada au astashahada ya uhasibu, PAMOJA...
ukisoma shule hadi levo za juu, na usiwe na kazi rasmi, wala mchongo wa kukuingizia kipato; ni rahisi sana kudhani kwamba umepoteza tu muda masomoni. Hasa ukijiangalia kulingana na walioishia hatua za mwanzoni na kujikita katika shughuli za utafutaji. Lakini ukiangalia kwa makini utagundua kuwa...
Akili Sina, simulia baada ya kufa nini kikaendelea huko ulikokwenda. Umeonana na malaika? Waliofariki miaka ya zamani mnaonana, au kila mmoja ana cell yake independent?
Fedha inavyozidi kushika hatamu katika mahusiano ya kimapenzi; umefika Wakati litafutwe neno lenye staha, na lisilo la kuwadhalilisha hawa 'commercial sex-workers'. Ni vile tu wao wapo wazi zaidi, na Wana guts za ku exchange tendo directly kwa pesa. Ila ni wengi mno wanaofanya same business...
Jamaa yako anajisikia vizuri Sana kwa 'kukupatia mchongo'. Pia anatamani kupewa credits kuwa yeye anahusika kwa wewe kuwepo ulipo. Na pengine hajasoma kiivo, sasa ni faraja Sana kwake kwamba unapiga mishe sawa na ambae hajapiga shule kivile; kwa kifupi alikupa ushauri ambao hakudhani ungeutendea...
Natamani kuwahurumia watu wa daladala lakini kila nikikumbuka walivyozoea kufanya biashara ya usafirishaji kimazoea naona wamepelekea pia kuchangia babaj kushamiri na kuonekana usafiri mbadala kwa abiria.
Palikuwa na desturi mbaya sana kwa daladala mkoani Mbeya, nimesoma na kuishi hapo kwa muda...
fid ni mwandish mahiri(bila kujali kama anatafsiri slogans zenye controversy), ila ana mapungufu katika uhalisia,so hayupo real...haishangazi kwa alilofanya PERIOD
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.