Hivi haka katoto ka kwenye tangazo la MICHEPUKO SIYO DIRI kalikotibua mchepuko wa MAMA SOFI (ANKO KIDEVU)kama MAMA SOFI NI MAMA YAKE WA KAMBO-Baada ya hapo katakuwa kanaishi maisha gani baba wa mtoto ukiwa haupo?? Mi nahisi katakuwa kanawekwa kwenye BOX
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.