Kwenye bond fund, pamoja na kuwa na option ya kupata gawio la kila mwezi, hata kama utaamua kuichukua, kuna element ya capital gain unayoipata kutokana na ongezeko la bei ya kipande.
Hivyo ndani ya hiyo miaka mitano unayosema, kama utaamua kuuza vipande vyako, utaviuza kwa bei itakayokuwa...
PureView yuko sawa kwenye hili. Gari manual zinapotea sokoni. Enzi hizo Automatic Transmtn zilikuwa option, ila kwa manufacturer wengi siku hizi ndio standard. Manual ni option. Wengine kama Mercs wamedrop kabisa manual transmtn kwenye baadhi ya models.
Defender mpya zote ni automatic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.