Kuwaza hivyo ni ukenge na kudhania kuwa hawezi tokea mtu mwingine kama magufuli..ila kiufupi jamaa ameitendea haki nafasi yake ya utumishi katika nchi hii..lakini haina maana hakuna wengine wenye maono mazuri zaidi yake..kubadili maono tofauti tofauti ndio nchi inaimalika zaidi na kuwa taifa...
Yani ulichowaza ndio siku zote Kipo akilini mwangu, kwanza nishajiambia ndani ya moyo wangu iwapo Mungu akizidi kunijalia..hakuna biashara ya kadi za michango ya harusi..nitatenga budget yangu nakualika watu wachache tu then maisha yanasonga mbele..biashara ya kufanya vitu nje ya uwezo ili...
Hilo sio Kosa Mkuu kusimama na kuangalia Wanyama..hakuna sheria inayokuzuia wewe kutosimama ukiwa ndani ya hifadhi..ila ni kosa ikiwa umevunja sheria ndani ya hifadhi kama vie kugonga mnyama, kusimama katikati ya daraja nk lakini sio kuangalia wanyama na ndio maana walitaka kugeuza kosa la...
Mkuu katika hiyo orodha yako kuanzia namba 1,2,3 na 5 uko sahihi kabisa na hizi mbinu ni wanawake wachache huwa wanaweza kukwepa lakini hiyo namba 4 aisee kwa dunia hii tunayoishi kwa miaka hii usitegemee jibu kama hilo kwa kweli...ni nadra sana kukutana na mwanamke akakutamkia...
Inamaana ungekuwa ni mpango wa kuilipua ndege kutoka kwa waharifu na idara ikajua/isijue na ndege ikalipuka je wakulaumiwa angekuwa ni Nani? Hapa idara haiwezi kukwepa lawama
Umeongea kwa busara ya Hali ya juu ndugu na maneno yako yamebeba uzalendo sana..Mara nyingi sana ambao hawana maono ndio wanaongoza wenye maono na wenye maono wanabaki kudharauliwa.
Tuombe Mungu sana atuvushe kwenye hili maana tumetikiswa na tukatikisika kweli kweli..maana pigo ni moja lkn...
Ndugu Chunga huo Mdomo wako..hata kama hauamini uwepo wa Mungu. Hata kutoamini kitu pia ni Imani vile vile ya kutoamini..sawa sawa na anayeamini uwepo wa mungu.
Nani kamdanganya kuwa kuna usawa Kati ya mwanaume na mwanamke? Hata biblia isingesema hivyo still mwanamke ni dhaifu kwa mwanaume..hilo halina ubishi maana hata hao anaowatete wanalijua hilo pia
Kwa mbali kabisa naoana dalili za maono yangu kutimia...nilikiwaza sana hiki kitu kinachofanywa na wapinzani kwa sasa, wakiweza kuwa kitu kimoja basi upande ule mwingine utatapatapa sana.
Mkuu kutoa msaada ni jambo jema sana lakini namna hili jambo linavyokuzwa hata wapewa msaada wanaweza wasijisikie vizuri: alafu siku hizi naona hicho chanzo Cha habari kimeufyata mkia kwa kupublish habari ambazo ni njema machoni pa mfalme hata kama hazina mvuto machoni pa wanyonge yani wamenza...
Angalia kwanza muonekano wa sura zao..huwezi tia shaka hata kidogo kuwa hata akili zao zinafanana,wanaongozwa na vitu vilivyo nje ya uwezo wao wa kufikiri
Wewe mtoa Mada ndo utakuwa mnafiki, ni heri kutoa kuliko kupokea..tunachoangalia sio uwezo ambao tundu Lisu anao kifedha bali tunachoangalia ni maono aliyoyabeba juu ya kuheshim utawala wa sheria na kulinda Haki ya watu kuishi. Pia hii michango itafsiriwe kama ni njia moja wapo ya kupinga...
Mshana hapa sijajua umetumia utafiti upi ndugu yangu, lakini kwa muono mwingine inaweza kuwa ni kinyume kabisa..Suala la mwanaume kupata pesa na kuangukia majaribuni mimi binafsi nafikiri kwamba ni kutojiamin kwa huyo mwanaume ndicho kinampelekea kwenda kinyume na mipango aliyokuwa amajiwekea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.