Naam! Nadhani inajulikana kuwa Innocent Bashungwa ni Waziri wa TAMISEMI.
TAMISEMI iliweka utaratibu wa uhamisho wa watumishi wa umma, mfano walimu wanapotaka kuhama vituo vyao vya kazi, sharti wapate walimu wenzao wa kubadilishana nao.
Sasa ni hivi, inakuwaje mmeruhusu watumishi hasa walimu...
Waganga wa jadi zaidi ya 900 kutoka Gamboshi na Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wametoa onyo kali kuwa watampoteza mwanachama yeyote wa CCM, atakayethubutu kuchukua fomu ya kugombea urais mwaka 2020 na kumpinga Rais John Magufuli.
Chanzo: Nipashe Twitter
Kiukweli, mikataba hii ndo inaturudisha nyuma kimaendeleo....trillion 23 si haba. .ni karibu pesa ya budget ya nchi.
JPM kongole kwako..
Wakabe vivyo hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] it's jus joking...jamaa analeta siasa nyepesi kwenye mambo ya msingi.
By the way, ninatumaini jamaa atarudi akiwa salama..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.