TUKIO la hivi karibuni la kuvamiwa kwa Mchungaji wa Kanisa la Maombezi Utashinda, Anthony Lusekelo maarufu kama Mzee wa Upako (pichani) na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi limechukuwa sura mpya baada ya watumishi wawili wa Mungu kuhojiwa.
Waliohojiwa katika tuhuma hizo nzito za kuvamiwa kwa...
Mambo yapo makubwa yanakuja,tutasikia mengi sana na mwisho wake member hapa jf tutabaki wachache sana kwani walio wengi watatimka mara baada ya matokeo kutangazwa
Habari zilizotangazwa muda huu(saa kumi na mbili) katika taarifa ya habari ya redio Clouds imemnukuu mwenyekeiti wa chama cha siasa cha NCCR mageuzi akiongea kuwa watanzania tujali zaidi utaifa badala ya ubabe kama unaofanywa na baadhi ya wanasiasa wanaotaka uongozi wa nchi kwa kutoa vitisho vya...
Kwanza huyo jamaa uliyemtaja (mungu amuweke mahali panapostaili)ndiye chanzo cha uchafu wa ccm,kwahiyo ni bora kumpa kura Kikwete ili atupilie mbali yale mawazo ya zidumu fikra mbofumbofu za mwenyekiti!
Mleta makala hii anahitajika kwenda mirembe kwani kwa utafiti nilionao aliwahi kukimbia pale mhimbiri wodi ya wale jamaa wapigao kelele!Angalia pumba anazoleta kwani ukizichambua hata chembe za mtama hazitoki!puuuuuuuuuuuuuuuH
Kwa upelelezi wangu nimegundua zaidi ya 85% ya wana jf wote ni wapenzi au wanashabikia CCM,wakiwa wanachangia mada kwa pamoja wanajifanya wapinzani lakini pembeni wao ni CCM!machoni kama watu moyoni hamna kitu!Jiwekeni wazi tuu kama MS,JK
Inaonyesha wewe una bifu na hao mashehe kwani wakati Mokiwa na Kakobe wanatangaza nia ya kumkampenia padre slaa hukuona au kwasababu hawakuvaa ile kofia ya ubwabwa!?
Kwanza nimeanza kupata wasiwasi na hii dini yetu ya ukristo kwani ninavyoelewa dini imeletwa na aliyetuumba na miongozo yake yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.