Munguamrehemu apumzike kwa amani...baadaya holly mass?.kama sehemu ya kanisa alihofia nini hata kama shida ni hizo hesabu za pesa?.hata kanisani nako hakuko shwari?.kwa ninikipindi hiki?.
Siku kuu ya Eid imeenda vizuri huku wakristo Uganda wakifanya ibada maalum kuombea amani nchini mwaokufuatia purukushani za kisiasa zilizojiri ....
Upande mwingine Sala ya Eid iliyofanyika hapa Tz ujumbe wake mkubwa ulikuwa amani.
Wanasiasa wetu hasa wenye dola, polisi, jeshi, mahakama...
Upo usemi kuwa dawa nzuri ni chungu.Pi eti watawala hupenda kutawala vwananchi wajinga.Kwa Afrika hii ni kwaida sana hasa pale ambapo mtu huingia madarakani akiwa amezungukwa na wapambe kibao sasa ili waambulie ukoko wanafanya kazi ya kumjaza sifa usiku na mchana.....This is lack of patriotism...
ngoja niwasaidie...wakatoliki wanaungama kwa siri mbele ya padre wakati hao walokole wanatoa ushuhuda na maungamo mbele ya waumini wote.sheria za kanisa zinamfunga na kumuongoza padre jins ya kuungamisha na kuungama yeye mwenyewe......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.