si lazima! ni utamaduni tu tumeuiga kwa watu wa nchi za magharibi!!ila kiundani pia ni vizuri kukata, kwa sababu ya wale wenzetu wasiopenda kuoga wanaweza kuwa na kifurushi cha uchafu!!hivyo kuondoa hilo ni vizuri kukata!! muda mzuri wa kukata ni wakati mtu akiwa mdogo kama miaka mitano, sita au...
oya!!
vipi kijana? ni methali hiyo!! inaweza tumika maeneo mbali mbali kutokana na mazingira ya mazungumzo!!
kwa mfano: kama unataka kitu, fanya bidii, na kuwa "practical", usikae ndani tuu!!
maana yako pia ina leta maana ila wengi wanachukulia msemo huu kama methali!!
nafikiri ni wakati umefika upinzani ukapewa nafasi kuona kama wataweza kutupeleka mbele taifa hili angalau hatua tatu mbele na mbili nyuma!! tumekuwa na chama tawala cha sasa kwa muda na hamna makubwa zaidi yaliyofanyika!democrasia ni kuwa na vyama vingi na kama chama tawala chachemsha basi...
kwa mwandishi wa hii thread!!
sawa kaka!! ila mi nawasapoti kwa sababu wanakuwa "practical", si wana jifunza kwa kujizoesha kuzungumza, kwa maelezo yako we vipi? english imekaa sawa?AU ndo mwenzangu na mimi wale wa ku-cramisha masomo(secondary na chuo) ukiambiwa kuelezea kasheshe! ni lugha ya...
-ni jukwaa la uwazi, si vibaya kama mtu anataka kujua nini kuhusu "mali ya serikali", na ukilinganisha bei waliyoinunuia ni ghali hivyo je inafanya kazi au ndo pesa ilitupwa shimoni!!
-pia hata kama mtu ana maswali ambayo ni pumba, ana uhuru wa kuuliza!!
je wamjua vizuri? kama ndio, unapashwa kujua ni nini anapenda!vitu vidogo vidogo ambavyo haviitji pesa nyingi lakini ambavyo ye mwenyewe atakuwa surprised!
dah!!ni vipi jamani mambo ya dini tena!!Tz sio nchi ya ubaguzi, tuachane na wendawazimu huu!!
bro/sis uliyeandika hii thread, nenda ka-regroup kidogo!! kwani wakiwa waislamu kuna nini kama wanatenda kazi sawa na jinsi wangevyotendo wakristo!mi mkristo ila hata sina muda wa kupoteza kufikiria...
sawa kaka nimekubaliana nawe!! kwa matumizi ya amani, naunga mkono, ila Iran wanapojaribisha "mitambo" yao kwa kupiga miziga yao hapo kidogo inatisha!!
ila kwa upande wa kuzitumia kiamani, nakuunga mkono kabisa mshimiwa, ili ni tatizo sugu(power rationing), na ufumbuzi ni nuclear energy tu!!
namueshimu Mwalimu kwa amani ya Tz!! ila alichemsha azimio la Arusha(ujamaa), hivyo akawa ana-make up for his mess!!
hamna kiongozi anaweza ishi kama yeye, hata ningekuwa mimi au wewe unayesoma, tusidanganyane, uwezi unless, u r conditioned to that economically!!
dah!kwani huyu msee kawin ka achieve nini zaidi ya kuongeapoints tu!
labda amepewa mapema mno, wangesubiri kidogo labda 2011 kama angekuwa amefanikiwa na ahadi anazo toa!!
lakini nobel prize itampa changamoto zaidi!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.