Ni kutafakari kwa kina ni vipi tunaweza kujikwamua kutoka hapa tulipo. Kupanda kwa Public Debt bila kuwa na miradi ambayo inauwezo wa ku-pay back deni hilo ni tatizo kubwa. Ni muda mzuri sasa viongozi wakatueleza ni lini na ni kwa njia ipi deni hili litaondoshwa kuliko kujisifu kwamba bado...
Ndugu wanaJF, mara nyingi huwa nafikiria waliotunga wimbo wa taifa walimaanisha haya tunayoyaona au mengine yasiyotendeka? Tanzania inaviongozi ambao wako tayari kushuhudia wananchi wao wanakufa kwa kukosa madawa wakati wao wanawaibia mabilioni ya hela halafu tunaimba Mungu ibariki, Viongozi...
Wadau, nasikitika sana ninapomskia mtu tena msomi na kiongozi wa nchi hii anaposema haitambui TANGANYIKA. Mfano ni Mh. Nchemba katika mikutano yako mara nyingi husema haitambui TANGANYIKA pia jana nimemsikia kiongozi mmoja wa CCM akisema haitambui, sasa nina maswali machache naomba mnisaidie...
Kwa nondo kama hizo unategemea nani azijibu kama siyo kuwaleta waimba taarabu walete vijebe vyao? Hoja ni nzito lakini mtu wakuzijibu hayupo zaidi ya kumleta kibajaji na komba walete maneno yao ya kwenye khanga
Muulize, yeye nachama chake walikusanya maoni yawananchi kuhusu muungano wanaoutaka au wanatumia wingi wao pamoja na uwezo mdogo wa wajumbe waupande wao kuwasemea wananchi?
Wadau, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23. Elimu yangu ni kidato cha sita na nimwanafunzi wachuo kikuu, ninamalengo ya kugombea ubunge jimbo la Mwibara. Sababu Zakugombea ni 1. Tunashida ya barabara tangu uhuru mpaka kesho kitu ambacho kimekuwa nikero kwa wananchi waliowengi...
Hili suala hata wao ccm wanalifahamu, tatizo ni pale ambapo EL atapita nasisi wananchi kumuuliza ukweli kuhusu RICHMOND atakapo usema ukweli watakimbilia wapi? ndo maana mkuu wa kaya anasema kuwa wengine wanataka urais ili walipize visasi, swali la kujiuliza kama hukuwahi kumkosea mtu kwanini...
Kama tunasema katiba ni mali ya watanzani wakati vyama vya siasa vinakuwa na misimamo yao hiyo katiba niyavyama au sisi wananchi wakawaida?. Rais hakutakiwa kusema msimamo wa chama chake kwasababu inaonesha dhahiri kwamba lazima kutakuwa naserikali mbili hasa ukizingatia wingi wa wabunge wa...
Kitu kinachoisaidia ccm kubaki madarakani ni watanzania wengi kukosa elimu, kubaki vijijini bila taarifa zozote kuhusu madudu yanayofanywa na hao viongozi wa ccm, ndo maana vijiji watu wendi maisha yao ni duni kwasababu ya ubovu wa viongozi wao lakini bado wanai kumbatia ccm.
Ndugu zangu Wantanzania nchi hii ni yetu sote na kila mtu anahitaji kuona nchi yetu inapata maendeleo kama zilivyo nchi zingine kama China, Uingereza, Germany na hata USA. Lakini napata shida kidogo kwa viongozi tulionao kwasasa unahisi maendeleo yanaweza kufikiwa? Nitatumia mifano muweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.