documentary nyingine zenye kuvutia na kuelimisha ni "cry freetown"-inaelezea vita iliotokea sierra leone mji wa freetown kiundani zaidi.
Nyingine ni "seal team six,the raid on Osama bin laden",hii nadhani iko clear on what its about
kwa kuongezea tu waungwana,watu wenye michezo hio ni mahackers na link anayotuma inakua una auto-download trojan au keylogger software kwenye mashine yako hivyo kumpanafasi ya kuona info ulizohifadhi kwenye ur computer na anaweza kumoniter your online activity/passwords na mengieo mengi so be...
yah ni vema nimekuta hii thread,habari zenu waungwana,naomba mnipe mawazo juu ya matokeo ya form four ya wadogo zetu mwaka huu maana nackia tetesi kuwa eti yatapangwa kisiasa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.