Search results

  1. Annuity

    Astronauts: Is sex in space possible or unthinkable exertion?

    If humanity is serious about colonizing Mars, we need to get busy studying how to get busy in space.. - Mike Wall. Kumekuwa na harakati nyingi sana katika huu ulimwengu ambapo nchi za dunia ya kwanza zimekuwa zikienda kufanya shughuli mbali mbali za kitafiti katika sayari nyingine na mwezini...
  2. Annuity

    Kwenye kwata ya kimya kimya 'Balotelli' ulifunika

    Leo tulikuwa tunaangalia maazimisho ya miaka 55 ya uhuru wa TZ kupitia ITV. Ambapo kuna mtu mtangazaji alikuwa akimtaja kama balotelli kweli alifurahisha watu alivyokuwa akigeuka na kufanya manjonjo.. Leo nimejifunza 'ukifanya unachokipenda hakuna kazi unayofanya' ila unakuwa una enjoy na salary...
  3. Annuity

    Ikitokea Maalif Sief ndio akatangazwa mshindi kwenye uchaguzi wa marudio..

    Maalim Sief kajitoa sasa ikatokea kura zikapigwa na Jecha bila hiyana akatangaza kuwa Maalim Seif ndio mshindi katika uchaguzi wa marudio nini kitatokea kwa mujibu wa sheria? Inaweza kutumika hiyo na kutokana mshindi kajitoa basi uchaguzi ukarudiwa tena kwa mara ya 3 na akapatika mshindi...
  4. Annuity

    Tafiti zenu zinatuchanganya.

    Pamekuwa panafanyika tafiti mbali mbali cha kushangaza zina utofauti mkubwa kupindukia. Hii inasema Lowassa anashinda na hii Magufuli anashinda. Wahusika huwa mnatumia Methodology gani? na kwa watu wa aina gani? Kuanzia sasa sina haja ya kuamin tafiti yeyote kuelekea October.. Politics should...
  5. Annuity

    What language do the Aliens speak?

    Nimekuwa Interested kujua habari za hivi viumbe (kama vipo), coz habari zake na mambo yanayosemekana kufanywa na hivi viumbe ni superb. But my question is where is common living place of Aliens in the universe? and if i want to communicate with them what language should i use?
  6. Annuity

    What Lies beyond the Observable Universe?

    Universe tunaambiwa ina kila kitu tunachoweza kukiona, kukisikia na sayari zote kubwa tisa na nyingine ndogo zote zipo kwenye hii universe, nyota zote na alliens wote tunaambiwa wapo kwenye hii universe. Sasa nje ya hii Universe kuna maisha mengine yanaendelea huko? Au kutokana na kuwepo sayari...
  7. Annuity

    Kwa upande wa Dar, CCM tayari wamenyoosha mikono, twende Arusha sasa!

    Nafikiri kilichofanyika leo katika jiji la Dar katika kumsindikiza ndugu Lowassa kuchukua fomu ya kugombea uraisi ni kansa itakayosambaa nchi nzima, bado sijapata picha hasa katika jiji la Arusha, Mbeya, Dom, Mwanza na ngome za sisiem ambazo zimeshabomoka kabla mafuriko hayajafika hali...
  8. Annuity

    Msichokijua UKAWA ni kwamba, Mfungaji wa Goli la mkono tayari yupo ndani ya box lenu

    Kuondelewa bungeni kwa wakina Lissu, Msigwa, Silinde, J.J, Mkosamali & Co basi nahisi habari imeisha kila kitu kitapita sababu hakuna kitu nilichokuwa nasubiri kama kujadiliwa kwa hali ya uandikishaji wa wapiga kura sababu hali ni mbaya sana na kwa waliobaki sidhani kama kuna mtu atasimama na...
  9. Annuity

    Marekebisho yanayofanywa yataathiri vituo ambavyo watu wamekwisha pangiwa?

    Husika na kichwa hapo juu, sababu kuna wengine wamekwisha anza safari.
  10. Annuity

    Tamisemi ndio kusema na walimu wa sayansi nao wametosha?

    Serikali mara nyingi inalalamika walimu wa sayansi hawatoshi, ukimya huu unapeleka message gani kwa waalimu hao? Toeni hata tamko basi msiwavunje moyo kama hizo ajira zipo na kama hamna wajue waka apply private maana wengine inawezekana wanasubiri ajira za serikalin kwa ajili ya uzalendo wao tu...
  11. Annuity

    Kama selection za kwenda kidato cha V zimetoka basi ajira za walimu nazo tayari ni suala muda tu.

    Nafikiri labda walikuwa wanataka waachie kwanza majina ya machalii au madogo wanaoingia kidato cha V, then after majina ya walimu na vituo vyao vya kazi yanafuatia so may be kesho au kesho kutwa watu watakenua.
  12. Annuity

    Kuanzishwa na kuzaliwa kwa MOSSAD

    Katika kitabu cha Gideon Spies kilichowekwa na mdau mmoja wa JF nimejaribu kukisoma na nimeona nishirikishe wadau mambo kadhaa yaliyonivutia hasa katika kuundwa kwa taasisi maarufu ya kijasusi inayosemekana kuwa ina watu wenye akili na makini zaidi ulimwengu wanayoifanya Israeli indelee kudumu...
  13. Annuity

    Utofauti wa lugha tunazozungumza ulianzia mnara wa Babel, ni kitu gani kilishababisha utofauti huo?

    Ningependa kufahamu huu utoauti wa lugha ulimwenguni ulisababishwa na nini, sababu tunaambiwa tunaposoma vitabu na makala mbalimbali kuwa utofauti wa lugha zetu ulianzia pale mnara wa Babel uliokuja kuharibiwa na Mtemi wa enzi hizo Alexander the Great mnamo katika kipindi cha 331 BC. Maana hata...
  14. Annuity

    Why Facebook Co-Founder Mark Zuckerberg is an Atheist?

    Mark Zuckerberg grew up in white plains, New YORK in Jewish family. But he is not so into it and not surprisingly, according to facebook update, Zuckerberg consider himself as an atheist. In 2011, Jerusalem Post ranked him as number one in the list of most influential Jews in the world. However...
  15. Annuity

    Ni nini kinasababisha mtu akitekenywa anashtuka na kucheka??

    Kwanini mtu akitekenywa anashtuka halafu anacheka? and why inakuwa ni baadhi ya sehemu za mwili tu kama vile mbavuni, makwapani na kwenye unyayo. Na kwanini mtu akijitekenya mwenyewe hacheki? ni mechanism gani inasababisha hali hizo katika mwili..
  16. Annuity

    Kama dunia inazunguka, kwanini miamba na milima haiporomoki? Na kwa nini bahari isimwage maji yake?

    Kuna vitu vinanitatiza sana sijui ni sababu ya kutaka kujua kila kitu Mimi sio mtaalam wa Geography japo wakati nipo sekondari tu kwa nadharia na kuna concept inasema dunia huwa inazunguka au inajizungusha kwenye mhimili wake. Ila maswali ninayojiuliza inazunguka vipi? Na kwanini isifike kipindi...
  17. Annuity

    Jack Ma: Mwalimu wa kiingerezai aliyeingia kwenye list ya watu 20 matajiri zaidi duniani.

    Kwa Tanzania watu wanasema ama kwa kumaanisha au kwa kutania kuwa fani iliyokosa mwelekeo na yenye watu waliokosa la kufanya na maskini ni ualimu. Lakini Jack Ma Yun maarufu kama Jack Ma kitaaluma ni mwalimu wa kiingereza ambaye ni mwanzilishi na mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Alibaba...
  18. Annuity

    Hii ndio sababu ya ualimu kukosa heshima Tanzania.

    ​Kwa miaka ya hivi karibuni, fani ya ualimu Tanzania imekuwa ikionekana kama chaguo la wakosaji, yaani mtu anakuwa mwalimu baada ya kukosa kazi bora ya kufanya. Lakini kwa siku za nyuma ualimu ulikuwa ni kama lulu, watu walikuwa wanapata heshima kwa kuwa walikuwa ni walimu. Mshara ulikuwa...
  19. Annuity

    Kwa hali hii ya sasa ya kisiasa na kiuchumi, Je vyuo vikuu vya Tz vimeshindwa kutimiza wajibu wake?

    Kwa siku za karibuni kumekuwa kukilalamikiwa kwa hali mbaya ya kiuchumi na kisiasa hapa Tanzania. Na watuhuhumiwa wakuu ambao wamekuwa ni vinara wa matitizo hayo ni wasomi waliohitimu wa vyuo vikuu ambao walitegemewa kuja kutatua hayo matatizo. Kuanzia serikalini, taasisi binafsi, mpaka vyama...
  20. Annuity

    Dk. Kitila Mkumbo, Kwanini watu makini wasianzishe chama chao?

    Nimesoma makala ya Mh. Dk. Kitila Mkumbo katiaka gazeti la Raia Mwema Toleo no. 332 la Jumatano tarehe 1 Januari 2014. Katika makala yake Dk. Mkumbo alitoa ushauri wa kutokomeza ubabaishaji na ujanjaujanja katika uongozi wa siasa, na hasa aliposema kuwa watu wengi makini wanashindwa kujiunga na...
Back
Top Bottom