Hapana mkuu, madhara ni kwa wote, japo inaweza kuwa sio kwa uwiano sawa. Kumbuka unapozungumzia Israel huwezi waacha washirika wake, pia Iran nayo ina washirika ambao kwa namna moja ama nyingine wanaweza unga mkono endapo ikiwa vita kamili.
Kama umefuatilia habari, leo baada ya tukio la Iran...
Unajua hii vita watu wanaichukulia kwa urahisi sana na ushabiki, bila ya kujua nini yanaweza kuwa madhara makubwa ya vita hiyo.
Eneo la mashariki ya kati tayari liko kwenye mgogoro mkubwa, na ndiyo maana unaona baraza la usalama la umoja wa mataifa linakaa vikao kila siku, lengo ni kushinikiza...
Mkuu,
Sijajua uelewa wako juu ya swala alilozungumza Mufti likoje. Kwa clip uliyoweka hapo ni kuhusu mamlaka ya kuatangaza swala la mwezi.
Kumbuka maswala haya yanategemea miandamo ya mwezi, kwahiyo ni sikukuu ambazo kiuhalisia hazina tarehe iliyo kamili. Sasa jiulize, mamlaka isingekuwepo ya...
Mkuu,
Watu wanachanganya mambo, sio kila Cobra anayeonekana ni King Cobra. King Cobra wako bara Asia tu, na kitaalam kabisa katika unyumbulisho wao kisayansi wanasema wale sio true cobra.
Tunachopaswa kujua kuna zaidi ya aina 38 ya Cobra duniani. Na sio Cobra wote hutema mate/spitting, wako...
Mkuu,
Huyo King Cobra unayeshauri apelekwe kwa ajili ya kula hao Black Mamba, mtoa mada anampata wapi?.
Unajua kwamba King Cobra sio native snake in Africa?, wako bara Asia huko. Jisomee vizuri tena.
1. Mara nyingi akaunti ikikaa muda mrefu bila kutumika hulala na baadaye kufungwa. Akaunti iliyofungwa huweza kuombewa special approval kama kuna ulazima huo haswa kwa mambo ya kisheria na ikafunguliwa.
Pia kuna wale ambao unakuta ana mkopo unao husiana na akaunti hiyo, na labda anataka...
Mkuu,
Huyo unayemjibu nadhani hata yeye mwenyewe katiba labda hajaisoma, au kasimuliwa au kama kaisoma basi hajaelewa kabisa.
Linapokuja swala la ugonjwa, katiba iko wazi sana na inaeleweka hata kama sio mtu wa sheria. Kama hoja yake ni kwakuwa Rais alikuwa mgonjwa, basi alichokieleza...
Mkuu,
Una changamoto zozote za afya ya akili?, au mahusiano yamekuathiri kwa namna moja ama nyingine?.
Kwanini kuwaita binadamu wenzako mbwa, wake zao mbwa, na watoto waliowazaa pia vivyo hivyo?. Nashauri pata matibabu ya saikolojia for your own good. Hii hali waweza ichukulia kama nafasi ya...
Mkuu,
Kwakuwa sio kitu chenye uhakika kuwa unafanyiwa, imekuwa kama nadharia tu, nadhani sio vibaya na sio dhambi ukaonana na wataalam wa afya ya akili pia. Wao wanawezabpia liangalia kwa upande ambao wewe huoni.
Linaweza kuwa hata ni swala la neurones lina shida. Huko kuna matibabu mazuri na...
Mkuu,
Kam alivyosema mmoja wa wachangiaji huko juu, unahitaji msaada wa kitabibu kwa haraka sana. Bila kujali unachotueleza ni kweli au ni mtazamo wako baada ya kupata hiyo shida uliyonayo.
Nasema hivi kwa sababu, kwanza hatujui wewe ni nani hapo Uingereza kwa maana ya nafasi yako katika hiyo...
Hapo nadhani tafsiri hujaiweka sawa mkuu. Afanyaye uasherati ni yule aendaye nje ya ndoa, ilhali yuko na ndoa.
Na hili ni swali aliulizwa Yesu juu ya maswala ya talaka na jinsi watu walivyoishi chini ya sheria za Musa.
Ukiangalia hapo, kiimani mtu anayetengana na mke au mume, isipokuwa kwa...
Mkuu,
Mimi ninataka kujifunza jambo haswa kulingana na chimbuko halisi la dini ya Islam. Hii itatupa picha halisi bila kuwa bias ni nani walikuwa waanzilishi wa mwanzo kabisa wa hesabu katika karne nyingi sana zilizopita.
Sina shaka na Misri ya zamani maana mambo makubwa ya kihistoria...
Nashukuru walau ndani mwako umeadmitt na uko concious kuhusu umuhimu wa ndoa katika jamii. Kwa kusema ndoa zilikuwa zamani, ina maana ni jambo unajua umuhimu wake, ila kitu pekee kimekuvunja moyo ni mienendo ya jamii ya sasa ndani ya ndoa.
Hili linachangiwa na mambo mengi kwenye jamii yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.