sasa unajua mimi hapo ndipo ninapokushangaa maana kwana umesema kwamba unashangaa serikali ya kenya haikuingia yenyewe kumsaka gaidi huyo sasa unataka marekani nao wakae kimya kama kenya ili apange mbinu zingine shida ya sisi africa hatujishughulishi sasa mtu yuko kenya lakini gaidi mpaka auliwe...
siwezi kusema mengi ila ninalosema nikwamba wote walio waislamu wajue wazi kwamba wanaenda motoni na watachomwa hasa yaani wasilamu ni bure kabisa na kazi yao ni kufarijiana ona wanavyodanganyana hapo palestina sasa bado mjinga mmoja tuu hajatoka huyu jamaa wa irani ana bahati obama kaingia...
labda nimwambie huyu anaejiita sijui nani kakobe manake nafkiri hata anachokisema hakijui kabisa huyu anesema sema tuu yaani anatamuka tamuka tuu bwaaa bwaa bwaa.... kwa taarifa yake sasa kama hajajua kanisa katoliki ndio linajikita kwenye siasa kikamilifu na dunia huko iendako kanisa katoliki...
unajua bwana mfaransa hana direction yeyote ile duniani wala hajiamini kabisa nimeona hata juzi huyu huyu alikua anapinga vita kumng'oa jamaa kule iraq baada ya vita kuisha anaanza kuhaha kuomba kazi ya ukandarasi aafadhali jamaa yeye ameamua kutawala kwa kupitia utawala mambo leo kipindi hiki
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye miaka 26 nimeingia hapa kwa jinsi nilivyo ona kuna wachangiaji wengi na naamini pia watanichangia mawazo kadri ya upeo wa uelewa wa kila mtu kama nijuavyo kwamba mawazo nipewapo sio kila wazo ni sahihi!!
katika mkoa wa tabora kuna babu ambae kipindi hiko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.