Sikua najua kuhusu Matoke India. Nafahamu tu kuwa ndizi kwa ujumla zilitokea Amerika ya Kusini. Kwetu kupitia watu wa Asia au labda ndo hao wahindi. Kitaaaambo sana kabla ya ukoloni
Naomba nihuishe hii mada.
Ni kweli watu wa pwani - wengi wao waislamu ambao ni utamaduni wa waarabu - wana mapishi bora zaidi. Hiyo ni kwenye michele na ngano. Wana uzoefu wa miaka zaidi ya 10,000 kwenye mazao hayo.
Asilimia labda zaidi ya 70 ya nafaka na nyama tunazokula duniani chanzo chake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.