Naona sasa kuna haja ya kufundishana namna ya kupiga picha kuna baadhi ya picha unaona kabisa hazijabeba details muhim
Kutokana na mpiga picha kukosa timing ya picha au kukosea angle ya yeye kuchukulia hiyo picha
Kama hii picha huyu mpiga picha kakosea timing kwann asisubili mhusika ashushe...
Magu anafikiri nini na sijaelewa amekata mfereji wa ajira tumekaa kimya ameharubu sekta ya afya Muhimbili watu Wanakufa maiti wanazikimbia madeni.
hakuna Huduma bure wajawazito
Wala mtoto ni balaa .
Tuje katika korosho mtihani mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hali ni tete wakulima, washazikusanya zipo maghalani mpaka leo kimya mwaka jana mpaka kufikia mwezi wa kumi na moja mwishoni almost watu wengi walikuwa wamelipwa
Sasa tunaikaribia Januari lakini malipo bado hayajafanyika
wakat naendelea kukata gogo kama unavyoelewa uswahilini tena bonge la folen watu wanapiga kelele unatuchelewesha w ganataka kuwahi kazini wengine wanatukana mm kama siwasikii ndio naziid kuwadharau taratiib nadondosha gogo moja moja mpaka wakakoma nilipomaliza nkakata vipande vipandenkaviondoa...
Mathematician are not serious at all
Hapo ndio upo class umeconcetrate na pindi unajisikia kubanja ile unatoka paap unarud unakuta t hakuna alaf sin A unaambiwa ni 2.03 mwalim anaendele kutafuta z hapo ndio utajua nini maana ya dunia rangi rangile
Jaman naomba tuyajadili haya yanayotokea kenya kupitia hiki kitu wameleta wazungu tunaita democracy.
Binafsy (myself) naweza kusema kenya ni politically unstable serikali inashindwa kizuia matando yanayoweza pelekea uvunjifu wa amani
Kwa nn kenya inashindwa na tanzania imeweza.
Je wakenya sio...
Hivi huuu utitiri wa avatar za pic za tundu lisu ni uzalendo kwa tundu lisu chama kampeni flani iv au ndio tunamliwaza maana naona jf zmezd mpaka naogopa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.