Tunawakubali sana Mnyika na Lissu.. wewe endelea kupiga porojo za lumumba.. watu wanadai madai yao kule ubungo nyie mmejifungia kutunga hekaya za uongo.
Toa ubeya hapa... bi chaubeya... Mwananchi wameandika na ndiyo ukweli... Hakuna kusogeza uchaguzi mbele uzembe wenu usiliangamize taifa na hatuta kubali ndiyo ukweli.. Kauli ya Mkt ni kauli yetu Chadema na Watanzania wote.
Utaratibu uwekwe mzuri siyo huwo wa kuchaguliwa na waziri anayetokana na chama fulani.
Tunapaswa kuwa na utaratibu mzuri na sahihi na siyo kuamuliwa mambo yetu na vyama.
Muswada huwo ukipelekwa na kupitishwa ukatakuwa ni kuendelea kushikilia mawazo ya vijana. Hakuna mahala ambapo vijana wamepewa mamlaka ya kuchagua kiongozi wao zaidi ya waziri kuwa mteuzi. Tunazikataa hizi nyadhifa zauteuzi tunataka kuchangua wenyewe.
Hahahahahaaa....Maghembe tutakuvua nguo mwaka huu hiyo ni moja.. unapambana na Kamanda Kilewo mtoto wa mjini tegemea mengi zaidi ya haya... Moto unaoenda kukutana nao siyo wa kitoto.
Mwanga tuliongozwa na mzigo muda mrefu na tulikuwa hatujampata mtu sahihi, Maghembe ameongoza jimbo hilo kwa udini na Ukanda hakuna kitu kilichokuwa kinamfanya kuwa madarakani zaidi ya hayo.
Alisema mama yake ndiyo amezaa pekee na kututukana wapare wote, sasa amezaliwa kidume anayeheshimu...
Maghembe ni mzigo, kwasasa wanawahadaa watu eti kutoa maji kijiji cha njia panda kata ya kirya na kuleta maji.
Wakati wakazi wa eneo hilo wananunua maji ndoo moja kwa kiasia cha sh 800 mpaka 1000 sasa huyu maghembe kama siyo ukichaa ni kitu gani??
Umenena maneno yenye ujumbe mzito sana, Maneno kama haya hunenwa mara chache sana na watu wa chache, Hakika ujumbe umewafikia watawala wabovu. njoo nyumbani jemedali wetu umalizie kazi uliyoianza ya kuifuta ccm hapa Mwanga.
tupo tunakusubiri kwa hamu sana, japokuwa kwasasa ccm wanahaha na...
Ipo mkoani Kilimanjaro, Kunamtu mmoja hapa Anajiita pro Ikongo huyu mtu ameanza ulaghai wa kulaghai watu juu ya Ardhi alienda kwenye kijiji kimoja cha Lwami akamtumia mwenyekiti aliyemaliza muda wake na kumpatia fedha ili akawahonge wazee wa Lwami wampatie eneo la kijiji, yule mwenyekiti akala...
Wakuu,
Muda huu ninaoandika hapa, serikali kupitia wizara ya michezo inaendesha semina ya kibaguzi hapa Mwanga Kwakuwaita vijana waccm pekee kwenye semina wanaodai ni yakuwajengea vijana uwezo wa kukopa na kurudisha, semina hii ilianza jana tarehe 08.01.2015 kwenye ukumbi wa viziwi huku bomani...
Ondoeni hawo madalali wa kisiasa siku hizi hawana dili, toeni hayo mapepo tumechoka kusikia kila siku tutafanya tutaleta tutatekeleza, toa wakae mbali na Umma.
Msoma taarifa amechanganyikiwa na maisha, vile vile huyu siasa ya chadema alikwisha kukaa pembeni kitambo kidogo na kutumika na Mamluki wenzake wa ACT-TANZANIA ona hajui kuwa MKOA wa Tanga haupo kwenye Kanda hii ya pwani bali upo kanda ya Kaskazini.
ukiwa na njaa usisahau kuumbuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.