Wakuu,
Muda huu ninaoandika hapa, serikali kupitia wizara ya michezo inaendesha semina ya kibaguzi hapa Mwanga Kwakuwaita vijana waccm pekee kwenye semina wanaodai ni yakuwajengea vijana uwezo wa kukopa na kurudisha, semina hii ilianza jana tarehe 08.01.2015 kwenye ukumbi wa viziwi huku bomani.
Wengi wetu hatujarudi leo kutokana na posho ya siku kuwa ndogo yaani tunalipwa ELFU 5000 huku tukiambiwa tusaini ila tusiandike kiwango hivyo sehee ya Amount inabaki wazi Tsh........................ then mbele unaweka sahihi yako.
huu ni ubaguzi wa wazi wazi kwaserikali kutumia kodi za wananchi na kunufaisha vijana waccm pekee huku wale waliyo wa vyama vingine na ambao hawana vyama wakiishia kuona kodi zikiliwa na wachache, Naomba waziri kivuli aweze kufuatilia jambo hili mapema maana semina inaisha kesho. Nimeenda kwenye ofisi za chadema nikakuta wamewahi kufunga ofosi leo nikajua nikwavile ni ijumaa.
Muda huu ninaoandika hapa, serikali kupitia wizara ya michezo inaendesha semina ya kibaguzi hapa Mwanga Kwakuwaita vijana waccm pekee kwenye semina wanaodai ni yakuwajengea vijana uwezo wa kukopa na kurudisha, semina hii ilianza jana tarehe 08.01.2015 kwenye ukumbi wa viziwi huku bomani.
Wengi wetu hatujarudi leo kutokana na posho ya siku kuwa ndogo yaani tunalipwa ELFU 5000 huku tukiambiwa tusaini ila tusiandike kiwango hivyo sehee ya Amount inabaki wazi Tsh........................ then mbele unaweka sahihi yako.
huu ni ubaguzi wa wazi wazi kwaserikali kutumia kodi za wananchi na kunufaisha vijana waccm pekee huku wale waliyo wa vyama vingine na ambao hawana vyama wakiishia kuona kodi zikiliwa na wachache, Naomba waziri kivuli aweze kufuatilia jambo hili mapema maana semina inaisha kesho. Nimeenda kwenye ofisi za chadema nikakuta wamewahi kufunga ofosi leo nikajua nikwavile ni ijumaa.