CHADEMA kuasisi mgomo wa madereva ni kwa manufaa ya nani?

Mleta mada, ninasubiri ushihidi wako kwa sababu umesema umeshuhudia vikao kwa macho na masikio. Saidia waTanzania waleo kujua ukweli!!

Lakini nimeona pia kuwa hujui majukumu ya serikali. Kama hujui kuwa ajira ziko "regulatated" kisheria basi una walakini mkubwa. Idadi ya masaa ya kazi, mikataba na haki za mfanyakazi, viwango vya mishahara (kuweka kima cha chini) ni MAJUKUMU ya serikali. Kusema kwa sababu vyombo ya usafiri si vya serikali, hakuondoi wajibu wa serikali kuhakikisha wasafirishaji ambao wamekata leseni za serikali, wanalipa kodi kwa serikali - wanafuata "rules and regulations" zilizoanzishwa na serikali.

Kama hujui EWURA, na wizara ya Uchukuzi, wizara ya kazi (udereva ni ajira) ni vyombo vya serikali - huna uhalali wa kuiondoa serikali katika kadhia hii. Kushindwa kwa serikali kuweka taratibu stahiki za kushughulika na jambo hili au mazoea ya kutolishughulikia - havifanya jambo hili kuwa nje ya majukumu ya serikali.

You are very right, hakuna ubishi kwa ulivyoeleza!!
 
Haya ya nilishuhudia ni vizuri muwe mnaweka muda, sehemu, na mlikuwa kama wangapi ili unaowasema bila kuwataja majina nao wakumbuke unaongelea jambo hilo walilokuwemo.
 
Ni kweli kuwa mwajiri wa maderva ni Sekta binafsi. Sekta hii inasimamiwa na serikali kwa maana ya kuwapa leseni ya biashara na kuweka viwango vya jinsi ya kuendesha biashara husika.

Serikali kwa madereva ni mtu wa tatu ambaye hahusiki. Serikali ilipaswa kuwabana wasafirishaji na siyo madereva. Kama mikataba baina ya madereva na wenye vyombo vya usafiri ni mibovu siyo jukumu la serikali kushughulikia. Mamlaka iliyowaajiri ndiyo inayohusika kujadili na kulitolea uamuzi jambo hili.

Cha kushangaza serikali inaingilia kati kuzungumza na madereva ambao haina mamlaka nayo. Mbona serikali mamlaka ya uteuzi au kuajiri ndiiyo inayohusika kutengua au kumfukuza mtu kazi iweje kwenye sekta binafsi.

Serikali inayo mamlaka na usimamizi wa taasisi zote, ziwe binafsi au vinginevyo , unafikiri ni kwa nini kuna "sheria ya ajira na mahusiano kazini"?? Au unafikiri hii sheria ni kwa wafanyakazi wa serikalini tu?? Fungua macho
 
JF si sehemu ya kuleta habari za kuzusha bila ushahidi.

Hivi huyo pimbi anajua kama Serikali ndiyo mwajiri mkuu au hili amelisahau! Akumbuke wakati Rais Kikwete amezuia mgomo wa Wafanyakazi kupitia TUCTA ya Nicolaus Mgaya, "...mimi naongea kama mwajiri mkuu, ole wake mtu kesho agome!" ~ Rais Kikwete
 
Unajua madhara ya thread yako kwa madereva nchini?.

1. Sidhani kama watanzania wa leo wanaweza kukubaliana na mtazamo wako. Kama wasipokubalina nao, unategemea nini?.
2. Sio vyema kuwapa kichwa CHADEMA hata kwa maswala yasiyo ya lazima. Kufanya hivi kunawapa heshima zaidi CHADEMA kuliko ulivyokusudia.

Kweli kabisa mkuu!
 
Mnashindwa kutekeleza majukumu yenu mnasingizia chadema!.kama nchi imewashinda mseme msaidiwe,.kila kitu chadema chadema,.huo muda mnawaza chadema mngetatua matatizo ya wananchi
 
Hii nchi bwana, kila atakayedai haki yake "kashawishiwa" na Chadema!!!!!!! Kwa hali hii ya kuwashwa koo ukakuna mguu..... Matatizo hayataisha nchi hii!!!!
 
Hivi upuzi kama huu udhibitisho upo? Mod/Invisible tudhibitishieni kabla sheria haijachukua mkondo wake

Chadema Kwanza
 
Chadema ndiyo Chama kiongozi wa Taifa hili.... Mmeshindwa kuongoza kwakuwa mlizoea kutawala na siyo kuongoza.
 
MNYIKA na Lissu wanaua chama, kufukuza wanachama wao wanainjinia, migomo wao, ujinga mtupu

Tunawakubali sana Mnyika na Lissu.. wewe endelea kupiga porojo za lumumba.. watu wanadai madai yao kule ubungo nyie mmejifungia kutunga hekaya za uongo.
 
Uimara wa serikali upo wapi? Kama CHADEMA imechochea mgomo wa madereva serikali imeshindwa nini kuwashughulikia? Fanyeni siasa za kistaarabu acheni uzushi.
 
Kwa mda mrefu chadema wamekuwa na mipango mingi ya kuhakikisha kuwa serikali ya Rais kikwete inashindwa kutawala na hatimaye ianguke japo lengo lao bado halijafanikiwa kwa kiwango wanachotaka wao. hii ni kutokana na uimara wa Rais kikwete pamoja na viongozi wanaomsaidia katika kutekeleza majukumu yake.


kwa kurejea kidogo tu chadema wameweza kuasisi mandamano mengi haramu ambayo yalikuwa na lengo la kuvuruga nchi na kufanya isitawalike,kama haitoshi chadema pia walishirikiana na baadhi ya watu wakiwemo waroho wa madaraka katika tasisi za afya na kuaandaa mgomo wa madaktari ambao uliishia kwa baadhi ya madaktari wetu kupoteza kazi na kupotea kwa maisha kwa baadhi ya watu wetu.


Lakini pia chadema wamejaribu kuandaa mipango mingi ya kushinikiza watumishi kwenye kada nyingi wagome pasipo sabubu za msingi japo hawajapata mwitikio mzuri kutoka kwenye jamii.


Kwa sasa chadema wanahangaika na kuwashawishi madereva wagome kwa malengo yaleyale ya kusababisha serikali ichukiwe na watanzania ili wao wapate agenda ya kusema majukwaani,nimeweza kushuhudia kwa macho na masikio yangu baadhi ya viongozi wa chadema wakiongozwa na John Mnyika pamoja na Tundu Lisu wakiwa kwenye vikao na viongozi wa madereva wakiwataka wawashawishi madereva wenzao wagome kutoa huduma ya usafiri kwa lengo la kuikomoa serikali ya jk.


Jambo kubwa la msingi hapa ni kwamba serikali kazi yao ni kutengeneza barabara pamoja na miundo mbinu yote ambayo itawasaidia wasafirishaki kusafirisha abiria katika hali ambayo ni njema zaidi.


Mimi nijuavyo serikali hawahusiki na jukumu la usafirishaji jukumu hili liko mikononi mwa sekta binfasi. Hii ni baada ya serikali kujiondoa kwenye mambo ya kibishara na kuaachia sekta binafsi sasa iweje mnyika,Lisu na wafuasi wao wawashawishi madereva kudai madai yao serikalini wakati wakijua wao mwajiri wao siyo serikali?


Madereva lazima watambue kuwa mambo yao yanapaswa kupelekwa kwa waajiri wao wakajadili na kukubaliana namna nzuri ya utendaji kazi lakini siyo kulazima serikali ifanye kazi ya waajili wao.


Jambo kubwa linalo nisumbua ni kweli Lisu na mnyika hawajui kuwa madereva mwajiri wao siyo serikali? Je ni kweli mnyika na Lisu hawajui kuwa mikataba ya kazi ya madereva lazima ifanyike baina ya mwajiri wao na madereva husika?


katika hatua nyingine ambayo inafanya niwaze ni pale mnyika na Lisu wanapokuwa mstari wa mbele kutengeneza mgomo bila kujali watu wanateseka kiasi gani halafu wanajiita ni wapigania haki za watu.Nashindwa kuwajua hawa makamanda wao wanachotaka nini kwa watanzania manake kila wanachofanya lazima wapange mgomo bila kujua watanzania wanateseka kiasi gani.


Hili nalisema kwa ukweli kabisa nimeshuhudia vikao vya hawa waheshimiwa vikifanyika usiku kupanga hii mipango miovu isiyokuwa na tija kwa watanzania.

Unajua majukumu ya wizara ya kazi na ajira ni yapi au unabwabwaja tu! Kuna kitu chochote hapa duniani kinaendeshwa bila serikali kuhusika kwa namna yoyote kupitia wizara zake? Hata wizi, ujambambazi, uongo etc. kuna idara na wizara za serikali zinazohusika na kudhibiti mambo hayo sembuse issue ya usafiri wa abiria! FIKIRIA KWA KICHWA NA WALA SIYO KWA MAKA-LIO!
 
Kwa mda mrefu chadema wamekuwa na mipango mingi ya kuhakikisha kuwa serikali ya Rais kikwete inashindwa kutawala na hatimaye ianguke japo lengo lao bado halijafanikiwa kwa kiwango wanachotaka wao. hii ni kutokana na uimara wa Rais kikwete pamoja na viongozi wanaomsaidia katika kutekeleza majukumu yake.


kwa kurejea kidogo tu chadema wameweza kuasisi mandamano mengi haramu ambayo yalikuwa na lengo la kuvuruga nchi na kufanya isitawalike,kama haitoshi chadema pia walishirikiana na baadhi ya watu wakiwemo waroho wa madaraka katika tasisi za afya na kuaandaa mgomo wa madaktari ambao uliishia kwa baadhi ya madaktari wetu kupoteza kazi na kupotea kwa maisha kwa baadhi ya watu wetu.


Lakini pia chadema wamejaribu kuandaa mipango mingi ya kushinikiza watumishi kwenye kada nyingi wagome pasipo sabubu za msingi japo hawajapata mwitikio mzuri kutoka kwenye jamii.


Kwa sasa chadema wanahangaika na kuwashawishi madereva wagome kwa malengo yaleyale ya kusababisha serikali ichukiwe na watanzania ili wao wapate agenda ya kusema majukwaani,nimeweza kushuhudia kwa macho na masikio yangu baadhi ya viongozi wa chadema wakiongozwa na John Mnyika pamoja na Tundu Lisu wakiwa kwenye vikao na viongozi wa madereva wakiwataka wawashawishi madereva wenzao wagome kutoa huduma ya usafiri kwa lengo la kuikomoa serikali ya jk.


Jambo kubwa la msingi hapa ni kwamba serikali kazi yao ni kutengeneza barabara pamoja na miundo mbinu yote ambayo itawasaidia wasafirishaki kusafirisha abiria katika hali ambayo ni njema zaidi.


Mimi nijuavyo serikali hawahusiki na jukumu la usafirishaji jukumu hili liko mikononi mwa sekta binfasi. Hii ni baada ya serikali kujiondoa kwenye mambo ya kibishara na kuaachia sekta binafsi sasa iweje mnyika,Lisu na wafuasi wao wawashawishi madereva kudai madai yao serikalini wakati wakijua wao mwajiri wao siyo serikali?


Madereva lazima watambue kuwa mambo yao yanapaswa kupelekwa kwa waajiri wao wakajadili na kukubaliana namna nzuri ya utendaji kazi lakini siyo kulazima serikali ifanye kazi ya waajili wao.


Jambo kubwa linalo nisumbua ni kweli Lisu na mnyika hawajui kuwa madereva mwajiri wao siyo serikali? Je ni kweli mnyika na Lisu hawajui kuwa mikataba ya kazi ya madereva lazima ifanyike baina ya mwajiri wao na madereva husika?


katika hatua nyingine ambayo inafanya niwaze ni pale mnyika na Lisu wanapokuwa mstari wa mbele kutengeneza mgomo bila kujali watu wanateseka kiasi gani halafu wanajiita ni wapigania haki za watu.Nashindwa kuwajua hawa makamanda wao wanachotaka nini kwa watanzania manake kila wanachofanya lazima wapange mgomo bila kujua watanzania wanateseka kiasi gani.


Hili nalisema kwa ukweli kabisa nimeshuhudia vikao vya hawa waheshimiwa vikifanyika usiku kupanga hii mipango miovu isiyokuwa na tija kwa watanzania.

we n mpumbavu CDM hawahuski na mgomo wetu watu wanajitambua saivi wewe, cdm achana nayo..huna akili kabisa
 
kuna taarifa ambazo ziko behind the scene kuwa chadema wanahusika na huh mgomo.
Jana mmoja wa madereva mbele ya waandishi alisikika akisema mgomo hauwezikwisha mpk waziri mkuu aje aonane nao au mh mbowe.
sasa tujuavyo mh ni kiongozi wa upinzani anaingiaje apo
hiyo moja mgomo kiasi kikubwa upo pale Ubungo hatujamuona mbunge akiwasihi either serikali au madereva kufanya suluhu.kwa jinsi mbunge anavyojifanya ni mbynge wa kitaifa VP mh hapa kunani?

connect dots.
 
Back
Top Bottom