Labda kwa kuongezea tu...kusingizia shida,matatizo ya kibinadam na kutoa ahadi kurejesha,hiyo ni style ya utapeli kwa wabongo walio wengi.
So take care.
Huu mgogoro navouona binafsi the way CDM wanavyouchukulia is like walishajianda kumuengua Zitto but walikua wana miss pakuanzia.
Ndomana walikua faster sana kumvua vyeo but still Zitto show stability.... he never get shocked cause he is strong enough political wise... anaitumia vizuri shule...
Yeah it true... Ila vema ukasema.
It takes years to practice trust....in steady of saying to learn... the well goes by finishing with that saying it takes a second to lose trust....
By the way I thank you.
Faizafox asante sana kwa kunisaidia kueleza ukweli.
Nachokiona hapo zitto anasakamwa tu eti kwa sababu ya walaka wa kumpendekeza agombee uwengekiti.
You guys you need to dig deep on it.
White Girl name wengine wenye mtazamo kama wako!
Hotuba aliyotoa m/miwa ni nzuri kwa kuenzi alivyokuwa madiba iconic duniani kwa ujumla ila haikupaswa aitoe kwenye maadhimisho ya Uhuru wa Tanzania bara....ilipasa adokeze tu na siyo hotuba nzima. Hotuba nzima ilipasa atoe speech kuzungumzia...
Habari zenu wanajamii wezangu.
Natumaini mpo katika pilika za hapa na pale to make a life goes on na wengine mtakua mapumzikoni japo baadhi mvui nayo inashughulika kidogo.
Naombeni taarifa kuhusu uwepo wa hawa social credit company, nimesoma juu juu eti wanakopesha mikopo bila riba mbali na...
Hapa kiundani zaidi nachokiona is just conflict of interest.
First inatakiwa ujue kwa mapana mchango wa Zitto kuijenga Chadema ambayo leo hii kuna wanaojiona eti wanasheria.
Pia inabidi kuutambua mchango wa Zitto ndani ya Taifa ili katika kuibana na kuisimamia serikali.
Kimtazamo zitto isn't...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.