Ni kweli muungano wa sasa sio ule wa awali, na ndio maana ni dhambi hata kuiona ile contract ya muungano. Huu umekuwa ni muungano wa viongozi wa juu. Kujadili muungano imekuwa ni taboo. Kila kiongozi alioujadili muungano alionekana ni msaliti. Mawazo haya ndio dhambi iliyouua muungano.
Hili ni...
Muungano wa kweli ni makubaliano kati ya pande mbili. Ni muhimu kufahamu kuwa muungano wa kweli hutanguliwa na kura za maoni kwa nchi zinazoungana. Hii inamaanisha kuwa Tanganyika wanapiga kura wenyewe na Zanzibar nao wanapiga kura wenyewe kama wanataka muungano. Hivyo kura za watanganyika 12...
Naona kuna shida ya kuelewa point kuu ninayotaka kuzungumzia. Nilipoandika mfano wa Mafia, lengo kuu lilikuwa kwa ujumla, si Zzibar tu bali hata bara ubunge kati ya jimbo na jimbo haulinganishwi kwa idadi ya watu.
Nilichotaka kusema, Lissu kama anataka kuwa muwazi basi vile vile alaumu kwanini...
Akimalizana na Zanzibar atahamia katika siasa za Majimbo. Kwa mihemko hii ya Lissu ndio utajua kuwa Singida sio Arusha au Moshi. Kila jimbo litakuwa na sheria zake na Polisi wake. Isome katiba ya CHADEMA na Ilani zao za uchaguzi 2010, 2015, 2020. Utanielewa tu.
Lissu atatuelewa tu. Msikilize alivyowahutubia waandamanaji Morogoro tar 30/4. Katoa hotuba nzuri isiyo na mihemko na hisia za kibaguzi ukilinganisha na ile aliyoitoa babati. Haya ni matokeo ya kumpigia kelele! Tutaendea kumpigia kelele kila anapotereza, lugha za kibaguzi hazina afya kwa Taifa...
Mimi kumwuita Lissu "MBAGUZI" ndio tofauti zetu. Uchaguzi wa Lugha na hisia za mwanasiasa ndio mwelekeo wa ubatizo wa jina lake.
Upo sahihi kabisa. Ni ukweli usiopingika. (Usisahau kuwa Zzibar ni nchi iliyokuwa na utaratibu wake na utamaduni wake hata kabla ya kuungana).
Kwa kuongezea tu, hata...
Ndugu usiturudishe nyuma au kututoa katika mada. Kwani wewe hujivunii mkoa uliotoka, au wilaya, tarafa. Kwani ni dhambi kusema Nyerere anatokea Butiama, au Mkapa kusini, au Kikwete Pwani? Ngoja nisipoteze muda hapa.
Sikiliza video ya Lissu vizuri akiwa umasaini utaelewa tunachompinga? na...
Kama wewe ni Daktari, endele na kazi ya utabibu. Ila ushauri wangu uanze kwanza kupima akili ya Lissu.
Kuhusu changamoto za katiba: Katiba zetu zote mbili zina changamoto na ndio maana Tulikuwa na Tume ya Warioba. Na huwezi kubadili katiba ya Muungano kwa mapendekezo yale ya Tume ya Warioba bila...
Sina shida na bando, lipo bila kikomo. Nimeiasikiliza video yoteee, na kuelewa jinsi alivyokuwa mbaguzi. Hakika nakwambia, kosa CHADEMA mtalifanya ni kumchagua Lissu kuwa mgombea wenu wa urais 2025. Hana point zaidi ya kuzungumzia UBAGUZI.
Watanzania wanataka kusikia jinsi akiwa rais...
Dodoma ninayoizungumzia ni ile aliyoizungumzia Lissu katika Video. Kama hujaisikiliza hiyo video (ipo kwenye uzi huu), tafadhali isikilze kwanza ndio twende pamoja. Katoa mfano wa idadi wapiga kura wa Dodoma na wabunge wake akilinganisha na wale wapga kura wa Zanzibar na wabunge wake. Kazi...
Na ukishayaelewa na kulewa hayo maneno ya Lissu, kinachofuata ni vita vya vyenyewe kwa wenyewe. Huko ndio Lissu anakotupeleka.
Sikia nikwambia, idiolojia za Lissu hazina afya kabisa katika nchi yeyote ile ya Afrika. Jirani yako ndio mtu utayefanya naye biashara kwa ustawi wa Afrika na nchi moja...
Kama anazungumzia idadi ya watu na uwiano wa wabunge, ni vizuri tuanze na Dar na Dodoma. Dar inawapiga kura wangapi (kwa takwimu za 2020) na Dodoma ina wapiga kura wangapi na Wabunge wangapi.
Mliosoma mahesabu tupeni uwiano ndipo tutajua kuwa Lissu ni mbaguzi namba 1.
Mbaya zaidi yeye mwenyewe...
Toka lini ukamuamini Lissu? Huyu yupo kimaslahi, tena ya kwake na familia yake. Jikomboe, usidanganyike... Lissu hakukomboi hata siku moja.
Utachoweza kufanya ni kumpuuza na kumtosa kwa kila asemalo. Hafai kabisa huyuuuu.
Kiongozi mkuu wa Anglican church ni nani? (Toka uingereza)
Trump- wafuasi wake wengi wanaompa nguvu ni watu wa aina gani?
Chama kilichotawala muda mrefu Ujerumani (CDU) ni chama chenye wafuasi wengi toka maeneo gani. Na mlengo wake upoje?
Urusi na kanisa la Orthodox, uhusiano upoje?
Ukraine na...
Hapana! Mkutano ujao aingie kabisa katika point kuu ya CHADEMA- MAJIMBO. Itapendeza zaidi, maana watanzania na watanganyika bado hawajui Lissu anakotupeleka.
Huwa napata taabu sana kumsikiliza LISU- ni miezi takriban 6 sijamsikiliza. Leo nikafikiri anapoint, nikafungua na kumsikiliza. Kumbe ndio kaharibikiwa zaidi.
Ok- Hebu nisimame nawe juu ya Uzanzibari na utanganyika. By the way neno Zanzibar kwa dk hizo 5 tu za Lisu limetamkwa zaidi ya mara 7...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.