Search results

  1. Z

    Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

    Ni kweli muungano wa sasa sio ule wa awali, na ndio maana ni dhambi hata kuiona ile contract ya muungano. Huu umekuwa ni muungano wa viongozi wa juu. Kujadili muungano imekuwa ni taboo. Kila kiongozi alioujadili muungano alionekana ni msaliti. Mawazo haya ndio dhambi iliyouua muungano. Hili ni...
  2. Z

    Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

    Muungano wa kweli ni makubaliano kati ya pande mbili. Ni muhimu kufahamu kuwa muungano wa kweli hutanguliwa na kura za maoni kwa nchi zinazoungana. Hii inamaanisha kuwa Tanganyika wanapiga kura wenyewe na Zanzibar nao wanapiga kura wenyewe kama wanataka muungano. Hivyo kura za watanganyika 12...
  3. Z

    Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

    Naona kuna shida ya kuelewa point kuu ninayotaka kuzungumzia. Nilipoandika mfano wa Mafia, lengo kuu lilikuwa kwa ujumla, si Zzibar tu bali hata bara ubunge kati ya jimbo na jimbo haulinganishwi kwa idadi ya watu. Nilichotaka kusema, Lissu kama anataka kuwa muwazi basi vile vile alaumu kwanini...
  4. Z

    Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

    Akimalizana na Zanzibar atahamia katika siasa za Majimbo. Kwa mihemko hii ya Lissu ndio utajua kuwa Singida sio Arusha au Moshi. Kila jimbo litakuwa na sheria zake na Polisi wake. Isome katiba ya CHADEMA na Ilani zao za uchaguzi 2010, 2015, 2020. Utanielewa tu.
  5. Z

    Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

    Lissu atatuelewa tu. Msikilize alivyowahutubia waandamanaji Morogoro tar 30/4. Katoa hotuba nzuri isiyo na mihemko na hisia za kibaguzi ukilinganisha na ile aliyoitoa babati. Haya ni matokeo ya kumpigia kelele! Tutaendea kumpigia kelele kila anapotereza, lugha za kibaguzi hazina afya kwa Taifa...
  6. Z

    Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

    Mimi kumwuita Lissu "MBAGUZI" ndio tofauti zetu. Uchaguzi wa Lugha na hisia za mwanasiasa ndio mwelekeo wa ubatizo wa jina lake. Upo sahihi kabisa. Ni ukweli usiopingika. (Usisahau kuwa Zzibar ni nchi iliyokuwa na utaratibu wake na utamaduni wake hata kabla ya kuungana). Kwa kuongezea tu, hata...
  7. Z

    Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

    Sina cha kukujibu, kwanza hujaelewa hoja zangu. Pili hizi lugha za mbwa...... unazoziandika, nashindwa kukutafautisha na Lissu. Au wewe ndio Lissu?
  8. Z

    Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

    Ndugu usiturudishe nyuma au kututoa katika mada. Kwani wewe hujivunii mkoa uliotoka, au wilaya, tarafa. Kwani ni dhambi kusema Nyerere anatokea Butiama, au Mkapa kusini, au Kikwete Pwani? Ngoja nisipoteze muda hapa. Sikiliza video ya Lissu vizuri akiwa umasaini utaelewa tunachompinga? na...
  9. Z

    Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

    Kama wewe ni Daktari, endele na kazi ya utabibu. Ila ushauri wangu uanze kwanza kupima akili ya Lissu. Kuhusu changamoto za katiba: Katiba zetu zote mbili zina changamoto na ndio maana Tulikuwa na Tume ya Warioba. Na huwezi kubadili katiba ya Muungano kwa mapendekezo yale ya Tume ya Warioba bila...
  10. Z

    Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

    Sina shida na bando, lipo bila kikomo. Nimeiasikiliza video yoteee, na kuelewa jinsi alivyokuwa mbaguzi. Hakika nakwambia, kosa CHADEMA mtalifanya ni kumchagua Lissu kuwa mgombea wenu wa urais 2025. Hana point zaidi ya kuzungumzia UBAGUZI. Watanzania wanataka kusikia jinsi akiwa rais...
  11. Z

    Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

    Dodoma ninayoizungumzia ni ile aliyoizungumzia Lissu katika Video. Kama hujaisikiliza hiyo video (ipo kwenye uzi huu), tafadhali isikilze kwanza ndio twende pamoja. Katoa mfano wa idadi wapiga kura wa Dodoma na wabunge wake akilinganisha na wale wapga kura wa Zanzibar na wabunge wake. Kazi...
  12. Z

    Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

    Na ukishayaelewa na kulewa hayo maneno ya Lissu, kinachofuata ni vita vya vyenyewe kwa wenyewe. Huko ndio Lissu anakotupeleka. Sikia nikwambia, idiolojia za Lissu hazina afya kabisa katika nchi yeyote ile ya Afrika. Jirani yako ndio mtu utayefanya naye biashara kwa ustawi wa Afrika na nchi moja...
  13. Z

    Video: Tundu Lissu atoa ufafanuzi wa hoja aliyoitoa Babati Aprili 26, 2024 kumjibu Fatma Karume kuhusu 'Ubaguzi na Muungano wetu'

    Kama anazungumzia idadi ya watu na uwiano wa wabunge, ni vizuri tuanze na Dar na Dodoma. Dar inawapiga kura wangapi (kwa takwimu za 2020) na Dodoma ina wapiga kura wangapi na Wabunge wangapi. Mliosoma mahesabu tupeni uwiano ndipo tutajua kuwa Lissu ni mbaguzi namba 1. Mbaya zaidi yeye mwenyewe...
  14. Z

    Bado zipo sababu kwa familia ya Lissu kuishi Ulaya? Je Lissu haoni kuwa jambo hili linampunguzia uzito kisiasa?

    Toka lini ukamuamini Lissu? Huyu yupo kimaslahi, tena ya kwake na familia yake. Jikomboe, usidanganyike... Lissu hakukomboi hata siku moja. Utachoweza kufanya ni kumpuuza na kumtosa kwa kila asemalo. Hafai kabisa huyuuuu.
  15. Z

    Leo Daktari naongea na vijana, ukipata mwenza wa dini/imani tofauti na yako vunja hayo mahusiano mapema

    Kiongozi mkuu wa Anglican church ni nani? (Toka uingereza) Trump- wafuasi wake wengi wanaompa nguvu ni watu wa aina gani? Chama kilichotawala muda mrefu Ujerumani (CDU) ni chama chenye wafuasi wengi toka maeneo gani. Na mlengo wake upoje? Urusi na kanisa la Orthodox, uhusiano upoje? Ukraine na...
  16. Z

    Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote

    Ni bora Lissu hakuchaguliwa 2020, angetuharibia nchi. CHADEMA msifanye kosa kumchagua Lissu ktk kinyanganyiro cha Urais 2025, 2030......
  17. Z

    Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote

    Hapana! Mkutano ujao aingie kabisa katika point kuu ya CHADEMA- MAJIMBO. Itapendeza zaidi, maana watanzania na watanganyika bado hawajui Lissu anakotupeleka.
  18. Z

    Tundu Lissu: Tuna Rais Mzanzibari anayeweza kwenda Ngorongoro na kutoa Amri kwa Wanajeshi wafukuze wamasai wote

    Huwa napata taabu sana kumsikiliza LISU- ni miezi takriban 6 sijamsikiliza. Leo nikafikiri anapoint, nikafungua na kumsikiliza. Kumbe ndio kaharibikiwa zaidi. Ok- Hebu nisimame nawe juu ya Uzanzibari na utanganyika. By the way neno Zanzibar kwa dk hizo 5 tu za Lisu limetamkwa zaidi ya mara 7...
Back
Top Bottom