Kumbe upo mbali sana. Sasa umejipambanua ueleo wako. Nilivyoandika Israel na Palestina nilifikiri umenielewa. Subiri! Twende pole pole, tutaelewana tu.
Tuanzie hapa:
1. Benjamin Nitanyahu ni waziri mkuu wa nchi gani?
2. Mahmoud Abas ni Rais wa wapi?
Ukipenda kufunguka na kujibu sahihi maswali...
1. Tofautisha kati ya Israel na Palestina.
2. Sijui maelezo yako yanalenga Israel au Palestina.
Kifupi, wayahudi wanaishi na waarabu katika nchi nyingi tu za kiarabu (Jordan, Saudi Arabia, Morocco, Misri N.K), na wala hakuna matatizo. Ndani ya Israel kuna waarabu wengi tu.
"(update states that...
Sijui una miaka mingapi, ningejua ningekujibu kirefu. Ila pata muhtasari huu:
Nchi pekee isiyotawaliwa Afrika ni Ethiopia. Hii ni kutokana na Wa-Ethiopia kuwashinda wakoloni waliokuja huko na kutaka kuitawala Ethiopia.
Kama Wangoni wangewashinda wajerumani na wakoloni wengine ambao wangejaribu...
Gharama ya kutafuta uhuru ni kubwa. Wangoni laki 3 waliuawa wakipigana na Wajerumani mwaka 1905. Population ya Wangani wakati huo haikufika hata milioni 2.
Leo wewe unakaa, uko huru na kuandika bila kujua kuwa safari ya kusaka uhuru ilianzia huko. Afghanistani zaidi ya miaka 30 wakipigana na...
Hamas yavamia kikundi chenye msimamo mkali Doghumosh Clan Gaza city (13/3.2024) na kuua idadi kadhaa ya wapiganaji wao akiwemo kiongozi wao. Hamas walichukua hatua hii baada ya kikundi hicho kushutumiwa kuwa na mazungumzo na Israel. Hamas imeshawahi kuonya kuwa kikundi au mtu yeyote ndani ya...
Ni kweli, maana hata kufahamu wanaouza hizo pombe feki ni rahisi sana. BEI ZAKE TU NI KIELELEZO KUWA HIZO POMBE NI FEKI. Huyo kiongozi asiseme kuwa ni vigumu kuwakamata wanaojihusisha na biashara hiyo.
By the way, POMBE ni haramu, hayo yalishasemwa. Huhitaji hata utafiti. Karibuni katika kundi...
Amepata alichotaka "Maandamano". Hii ilikuwa ndoto yake toka aingie CHADEMA. Hivyo ataendelea kuwekeza nguvu kubwa kwenye Maandamano, ili asitoke nje ya reli mpaka 2025.
Hapa nilipo... Ni mji upi, kata ipi.......Mtaa upi....
Mimi niko kijijini Ifakara... Nguzo za umeme bado hazijafika, hivyo bado tunatumia mafuta ya taa.
Wenzetu mliopo mijini mnasemaje juu ya umeme, toka tutangaziwe mwisho wa mgao. Ni siku ya 5 leo, hivyo inatosha kutoa maelezo kama kwa siku...
Hii ndio 3D number plate katika picha. Kifupi 3D inamaanisha kitu chochote kilichokuwepo katika picha katika vipimo vitatu. Upana x urefu x Kina. Namba plates zetu za awali zilikuwa na vipimo viwili, yaani urefu x upana.
Madhara: Sijui kama 3D inamadhara yeyote, nafikiri ni suala la polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.