Magufuli: " Karibu miezi sita sasa imepita (tangu bajeti ya 2015/2016 ipitishwe) hakuna fedha yoyote ya maendeleo iliyoenda kwenye wizara yoyote. Fedha yote tulikuwa tunaitumia kwa ajili ya mishahara na vitu vingine."
Balozi Sefue atueleze fedha zile za Mkopo USD 600 Mil tangu mwaka 2012/2013...
Peleka mzigo wako kwa Africa Salihiya Shipping Company, tafuta address yao katika mtandao. Unaweza kutuma mzigo hadi Msa kisha ukaufuata mwenyewe au wakakuleteya hadi Dar.
Kazi kwako.
If true this article is a hand of kinana, it speaks a lot of mental sickness and propaganda of highest order. Why then up to now they have failed to get the court ruling and close the Sheikhs case rather than holding these activists for no reason apart from political gains of CCM. The game soon...
Rais janja sana. Baada ya kuona Keshapoteza umaarufu kaja na gea mbili. Tunafikiria kufuta ada, njozi kwelikweli sasa ukifikira ndio nini? Pili, kukutana na ukawa lakini bila kujadili vipengele vyenye utata. Janja toto sana, na wajinga ndio waliwao vyombo vya habari badala ya kuhoji wanauza...
Vipo vya bure na vingine unalipia. Muhimu ni kuwa ni benki ya sharia lakini watu wate wanahudumiwa. Hawa jamaa kwa muda mchache wana karibu kila huduma unayoijua na bei nzuri na haman longolongo katika mikopo.
Benki inaakaunti aina nyingi, zingine zina makato na nyingine hazina makato. Zenye makato ni kati ya Tsh 800 hadi 7000! Savings akaunti ndio zinatozo ndogo. Kaunta ni tsh 700 tu. Kuhusu huduma ya kibenki kwa simu, aisee ni safi sana na tozo ni Tsh 200 hadi 1000 kutegemea na aina ya huduma. Mimi...
Pole sana ila ukiandika punguza hisia, panga hoja vizuri kisha tujadili amani huvunjika kwa waislamu kulewa wanalotaka lakini wakipewa wakristo mabilioni ya pesa chini ya MOU amani inadumishwa sio?
Wacha propaganda!
Did you know 14 african countries forced by French to pay the above tax until today.
Alternatively, google the above subject.
After reading ask if Tanzania is not subjected to similar tax and pact with colonizers.
Mtu mzima hachapwi viboko dawa yao ni kuwaanika hadharani upuuzi waufanyao kama magazeti yafanyavyo. Isitoshe, bunge hili livunjwe maana waneshindwa kazi. Tushinikize hili kwa njia ya kura ya maoni katika mtandao.
Fanya uchunguzi kwa nini anapingwa na kisha utueleze na sio kuona mawingu na kusema mvua yanyesha. Hali ulioeleza inaonesha kuna jambo limejificha... Fichua utajua kwa nn wanaandamana!
Imepatwa kusemwa kuwa kama kuvaa nguo zinazoonesha mwili au zisizositiri mwili ipasavyo ndio usasa (modernity) basi wanyama ni wasasa zaidi! Mavazi yanasema mengi juu ya usalama wa akili ya mtu hususani juu ya namna anavyojiheshimu na kujithamini kama binadamu...
Wanajukwaa naomba kutoa hoja: Kwa kuwa nchi yetu ni masikini na inakabiliwa na upungufu mkubwa wa huduma za msingi za kijamii wakati umefika kuondoa sherehe kama ya Uhuru na nyinginezo na gharama zake ili fedha hizo ziende katika kuboresha hospitali zetu ziwe na vifaa na wataalumu na pia ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.