Vanessa ni mpare na si mchaga.Hata kama kafata maokoto ni kila ndoto ya mwanamke kuwa na mwanaume mwenye kipato, cha kueleweka na sio kuunga unga. Na amani ya moyo ndo kila kitu we mwenyewe unajionea tu kwa macho Vanessa wa Jux na Rotimi ni watu wawili tofauti.Acha ajilie vyake ni mda wake...
Kabsa,usimpe mtu moyo wako,asiyeona thamani yako.Japokua ni ngumu kuanza upya lakini ni bora utoke kwa maumivu makali ila kesho yako ni njema kuliko toxic relationships.Kudos kwa homegirl saivi anajilia mema ya nchi.
Kilichonivutia ni namna dada yetu alivyonawiri sana,kweli penzi la kweli tamu ukilipata unatakata tu pasipo hata kupaka lotions. VANESSA ni wakumshinda hips Ruby kweli?Kila lakheri kwao Mungu awasaidie wafunge hiyo ndoa yao mwakani kama walivyosema.
P'se girls epukeni kudate na mwanaume...
Huu ni msiba wa kujitakia na sidhani kama ni rahisi kumrudisha mtu mwenye addiction ya madawa refer Chid Benz,Pauline Zongo nk naona jamaa kaamua kujimaliza mwenyewe, Walaumiwe management/familia yake kwa kutomsaidia mwanzoni tu alipoanza, kama ni kweli basi tushampoteza Guavo low budget,Ni...
Si kweli huyu ni mdangaji wa kiume..huezi omba kitu ambacho uja invest abadani,Natural mwanaume hatakiwi kuitisha pesa kwa mwanamke hayo ni matusi makubwa..
Kumpiga teke manake ampe block haraka sana pasipo kupepesa macho huyo gold digger wa kiume.
Tatizo mmeshakariri lazima ufanye white collar job ndio uheshimike kwenye jamii ili hali unapokea kamshahara kidogo.Ila mtu akiamua kulima au kufuga anaonekana amepoteza.FYI umfikii Ally hata kidogo hizi harakati ameanza kitambo tokea akiwa kwenye uongozi hiyo Kolowasi farm ni ya kitambo acha...
Mbona unapoteza mda wako jamani,ebu rudi Nyumbani kwenu ukaangalie mambo mengine.Acha uoga wa maisha.Hapo ukute unafanya kazi ya bure kisa kuonekana na watu sio jobless[emoji19]
Acheni figisu bwana,tusubiri uchunguzi ukamilike mambo yawe hadharani,ajali inakupata sehemu yeyote na mda wowote haswaa hizi ndege ndo kabsa hazitabiriki niliwahi kupanda Rwanda air 2019 alfajir tunatua Kigali matairi yakagoma kutoka tukazungushwa wee kama dk 15 hadi badae ndege ilivyokuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.