Nilikopa bajaj TVS KING TUKTUK mpya kwa kampuni flani ila nilitanguliza Tsh 1m kama dhamana, imetembea km 300 tu na ina bima ndogo, ina fire extinguisher, Latra na triangle zake ikiipata ni road tu.
Rejesho ni 139,400 kwa wiki nimesharejesha mwezi kama na kitu. Kwa anaehitaji hii bajaj na deni...
Ushauri wangu utakuja kama utajibu haya:
1.mnampango gani ?wa kuoana au?
2.je kwenye hayo mahusiano anakusapport kivip kiuchumi? Anamchango kwa asilimia ngapi katika uchumi wako?
3.na ukimwacha unatafuta bwana yupi tena labda,coz hata unapoenda wanacheat karibu wote. Labda uokoke na Umuombe God...
Habari!
Nauza Bajaj TVS KING ya 2022 MC 965 DSA imetembea km 1500.
Nimenunua 8,100,000
-Ina bima kubwa mnaita comprehesive ya mwaka 1, itaexpire 07/02/2024. Kwa 600,000
-ina latra ya 32000 expire 07/02/2024
-fire extinguisher 15000.
-triangle 8000.
-sticker 2000.
Ikiichukua ni barabarani tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.