Hamna hata kipya kinyemi wala nini hapa nilipo nna maumivu ya moyo karibu mwezi mzima, unampenda mtu unamthamini kwa kila kitu na bado mnafanya kazi ofisi moja anatongoza wengine inaumiza sana sijui kwann Hamna ubinadamu, bora umwambie mtu kama umuhitaji tena kuliko kumuumiza bila sababu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.