Make no mistake, anyone can change your OLAMS password and access your private data provided one has your phone number + form 4 index number.
HESLB should do something about this ASAP
"Hata hivyo, pamoja na Acacia kuanza kulipa kodi, inaidai Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Dola za Marekani 120 milioni (zaidi ya Sh240 bilioni za sasa) ikiwa ni malimbikizo ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT).
Akijibu maswali ya mwandishi wa habari hizi kuhusu utaratibu wa kampuni hiyo kulipa...
Msaada kwa mdau yeyote mwenye kamusi softcopy either pdf format au link ya page yenye translation kutoka Kiswahili kwenda Kiingereza. Kwa ufupi Swahili - English dictionary.
Thanks in advance
Habari zenu wakuu.. Nahitaji nmsaada kuhusu hili:
Eti kwa mfano mtu first degree umesoma Bachelor of Science in Telecommunication Engineering je kuna uwezekano wa mtu huyu postgraduate kusoma Masters of Science in Structural Engineering au Highway Engineering katika chuo chochote.
Naomba...
Wakuu nina mdogo wangu. Naamini na nyie mna wadogo au ndugu zenu. Amemaliza form four mwaka jana.. Amepata div III point 28 alisoma arts. Naulizia vyuo na kozi nzuri anayoweza kusoma koz kwenda Advance yeye hawezi na anaona chuo ni option nzuri na iliyobaki. Nawasilisha.
Wanajamvi mimi nilianza kujifunza programming tuseme accidentally to it was when I was still in form 3.. Na language ya kwanza kuigundua na kuanza kujifunza ilikua HTML hivohivo kwa bahati nasibu na sikuwa na mtu yoyote yule wa kunisaidia zaid ya kudownload tutorials na kukomaa mwenyewe coz I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.