Search results

  1. jumanne12

    Nyama ya kenge

    Iramba fisi analiwa
  2. jumanne12

    Nyama ya kenge

    Kyalu mukunza mukaki namaa du mbwane weee imenibidi niongee kinyiramba nadhani akina mwigulu, kitila, wamenielewa siku njema mkuu
  3. jumanne12

    Nimemwachia mali zote, naanza upya

    Mimi niliacha hadi mavazi yangu nikasepa na kuanza moja sasa mwaka wa nne nakaribia kujenga nyumba nyingine
  4. jumanne12

    Namtafuta mwanaume atakayekuwa tayari kumuoa dada yangu

    Mjomba dadako hawezi kulima tumbaku
  5. jumanne12

    Kumi Bora ya Wabunge walioshindwa kukidhi matarajio ya wananchi

    Anauza sola ndo maana Umeme wa mgao
  6. jumanne12

    Gerald Hando amuuliza Januari, Dkt. Kalemani aliweza vipi umeme haukukatika?

    Wamefungulia maji yaende kwenye , mpunga
  7. jumanne12

    Material hizi zimepitwa na wakati

    Kila bidhaa ina Shemu yake pa kuitumia maanisha kwamba haiwezekani kutumia wallputy kwenye kuta za nje
  8. jumanne12

    PPR na IPS zipi ni nzuri zaidi kwa mfumo wa maji safi (Baridi na moto) kwa nyumba?

    Uzuri wa ips ni kwamba kuna kiungo kinaitwa Union ingawa mafundi wengi siku hizi hawakitumii ila ni cha muhimu sana kwani wakati wa kufanya maintenance kinakusaidia kufunga au kutenganisha mabomba tofauti na ppr ukichoma ndo basi ikitokea bomba limepasuka inakua ngumu kulifanyia matengenezo.
  9. jumanne12

    Naomba ufafanuzi kuhusu huu ‘Mkeka wa mbao’ (Floor Decor)

    Kama wewe unataka kujua kuhusu timberfloor kwanza jua mbao zinazotumika kutengeneza hiyo floor ni mbao za hardwood miti maalum kwa ajili ya kujenga floor, sio kila mti miti mizuri kabisa ni; mbanga,mzima, mtiki,kandanda, mkurungu, mvule, mkola, mninga na miti mingine yapori
  10. jumanne12

    Mashimo ya Choo yasiyojaa ni kama yako Over-Charged hivi

    Mashimo hayo yalikuepo toka miaka ya nyuma isipokua jamii haikuyaona umuhimu wake kwa sababu idadi ya watu ilikua ndogo na maeneo yalikua mkubwa sasa watu wameongezeka na maeneo yamepungua badala ya kujenga mashimo ya kunyonya tunageukia hayo yasiyonyonywa tahadhari kwa mabosi wawe makini na...
  11. jumanne12

    Je, ni kweli nyumba mnazoziita contemporary (Hidden roof ) zinapunguza gharama ya kupaua?

    Tatizo wateja wengi zaidi wanakurupuka na hao mafundi uchwara ndo nyumba inavuja sana mimi nimekutana na kesi hizo mara kibao
  12. jumanne12

    Profesa Mkenda, shule za msingi hazina Walimu

    Hiyo mbona hata hapa kwetu shida ni waalimu,vyoo,na madawati watoto wetu wakaa chini
  13. jumanne12

    Profesa Mkenda, shule za msingi hazina Walimu

    Waalimu hawatoshi kwa sababu mpaka wawasomeshe watoto,na vitukuu vyao ndo waajiri kufundisha watoto wetu ndo maana ajira kwa waalimu hakuna
  14. jumanne12

    Nawadharau sana Waingereza kwa kuendeleza utawala wa Kifalme

    Hujasikia mzazi alikemea vijana waache kuwafuata wasichana halafu yeye ana wake watatu na vimada?
  15. jumanne12

    Tukio la kibanda cha mlinzi kujengwa kwa milioni 11, ni ishara kwamba viongozi wa wilaya na mkoa wamezembea au walijua

    Mkuu pale kilipo chuo kwanza ni Shemu ambayo hata ikijenga msingi kozi tatu kibanda hakianguki wastani kibanda kile hakizidi matofali 800 halafu kokoto tani 7 yaani kuanzia msingi hadi lenta mifuko 8cement yaani kwa kifupi wamepiga
Back
Top Bottom