Kwenye mpira kijana ni kati ya miaka 15-29,kuanzia miaka 30 hadi 36 hao ni wachezaji wazee ,huwa akili na mwili havina mawasiliano ya haraka na wakiumia wanachelewa kupona
Usimlinganishe Hayati Mwl Nyerere na watu wasiofanana nae hata kwa 2% ya utendaji ,sie tuliyaona mengi aliyoyafanya kwa taifa na Africa bila ubaguzi wa kikabila wala kikanda.dont ever repeart such at stupid comparison
Kweli hakuwahi kuwa mtumishi wa umma ,ila aliwahi kuwa COO NBC bank na huku serikalini kumeoza kunahitaji watu wenye energy na vision kutoka private sector ,age sio tatizo kwa level ya cheo chake.
Msunbiji wameomba msaada kwa majeshi ya SADC ,na sasa wap huku vikosi vyte vimekamilika kuanza msako wa waasi .Jeshi la msumbiji liligawanyika na kuzidiwa na waasi
Wanawake wanaliwa kwa hisia ,ila sisi tunakula kwa tamaa na kujifurahisha .Mtoa mada amekuwa very general kwa wanawake sio kweli.Ila pia jiandae kukamatwa za mwizi ni arobaini.Pia kuna magonjwa ya zinaa na kumeongezeka homa ya ini type B ,sasa kuchapa nje sio ujanja sana
Real Estate investment is long term investment ,recovery of money will take time and you must also consider repair and maintanance after every 2-3 years.
MGODI MKUBWA KAMA ULE HAUQWEZI KUFANYA UJANJA UJANJA ,WANALIPA KODI ZOTE NA MIRAHABA SERIKALINI ,MKOA WA SONGWE UNANUFAIKA SANA NA MRAHABA NA KODI ZA SERIKALI WANALIPA TRA (LAGER TAX PAYERS)
WANA MAKAMPUNI MAKUBWA YANAYOTOA HUDUMA NA YOTE YANALIPA KODI STAHIKI ,OFISI YAO DAR ES SALAAM NA...
Kuna unywaji wa pombe kali na zisizo kali kila siku,kuna unywaji wa pombe siku 2 kwa wiki,na kuna unywaji wa pombe siku 1 kwa wiki ,kuna unywaji wa pombe na nyama nyingi ,kipi ni kipi ? Pombe inafanya mtu kuwa na furaha akiwa na marafiki ,sasa pombe hatuachi na research iendeleee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.