Wanajamvi wote wapenda mabadiliko tunajua uwezo wa kufikiri wa wasanii wa kitanzania,ccm imeshawapa pesa wakiamini ni watu muhimu kuwapigia kampen,kwa mtu makini siamini kama utapoteza muda kutakanana nao mitandaoni sababu wameshakula cha watu,upande wangu mimi ni kufanya jambo dogo tu 'UNFOLLOW...
Naomba kuuliza ccm wanamuogopea nn lowasa??tangua ahamie chadema wamesahau kabisa kama na wao wana makufuli wakumpigia kampeni wao kila siku ni story tu kuhusu lowasa mara hiv mara vile,tuambien nn mchotetemeka kwa yy kuwahama,si ni mgombea tu kama wenu?? Nawashauri fuatilieni mambo yenu the...
Naomba kuuliza ccm wanamuogopea nn lowasa??tangua ahamie chadema wamesahau kabisa kama na wao wana makufuli wakumpigia kampeni wao kila siku ni story tu kuhusu lowasa mara hiv mara vile,tuambien nn mchotetemeka kwa yy kuwahama,si ni mgombea tu kama wenu?? Nawashauri fuatilieni mambo yenu the...
Leo imenibidi kuamka asubuhi na kwenda TANESCO kuuliza kwa nini umeme unakatika kila siku na bila wao kutoa taarifa yeyote.
Cha kushangaza wafanyakazi wa TANESCO wakanijibu hata wao hawajui kwa nini umeme mikoani unakatwa wakaniomba niende kwa meneja kumuuliza kwa bahati mbaya secretary wake...
Jana nilisikia kuna watu wamepigiwa simu na NMB Southern Zone kwenda kufanya interview jumamosi.
Concerning yangu venue ya hiyo interview ni wapi?
Kwa aliyepigiwa msaada.
[SIZE=3]Viwanja vinauzwa vya ukubwa tofauti maeneo ya mkundi na kiegea Morogoro, vimepimwa na vina document zote na zinatolewa na Manispaa ya Morogoro, serious buyer ni pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.