Search results

  1. mimi.mimi

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    hayo si nimanasa nguo au nisaidie mama yangu hali yake ni mbaya
  2. mimi.mimi

    Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

    ingia pinterest uandike fodder system diy. utaelewa ni simple sanaaaa
  3. mimi.mimi

    Kumbe kitunguu saumu kinalipa hivi

    Asante, Asante kinachukua muda wa miezi mingapi mpaka kuiva shamban/ kuvunwa
  4. mimi.mimi

    Njoo utufundishe kutengeneza juice zisizozoeleka

    Juice ya pera na parachichi nihatariiiiii
  5. mimi.mimi

    Marehemu wengi hurejea baadhi ya sehemu walizofia?

    Nisaidie hili , wiki mbili zilizo pita niliota bibiangu bibi angu kaja kwangu kutembea akaniomba nimfungulie , mie nikasita akasema kama hutaki nifungulia mimi naondoka zangu na akaondoka. Mimi niko mwanza yeye yuko bukoba. Asubuhi kulivyo kucha baba akanipigia simu akasema bibiako alikua...
  6. mimi.mimi

    Ninajamba sana ifikapo asubuhi

    Jaribu na hii, utani pm ikikusaidia, nunua chupa ndogo ya apple cinder vinegar inauzwa 4500 , chukua glas kubwa ya maji ya uvuguvugu changanyia vizibo viwili vya apple cider kunywa kabla hujalala yaani ukisha kula ucku ukitaka lala kunywa, ukiamka pia Fanya hivyohivyo. Ukimaliza ciku mbili...
  7. mimi.mimi

    Chukueni tahadhari na dawa hii, TFDA na Wizara ya Afya mpo wapi?

    Mimi pia mdomoni hupata vitu Kama vipelepele Kama siku mbili alafu hutoweka
  8. mimi.mimi

    Kuanzisha Day Care!!

    Njoo mwanza magu tunauitaji mkuuuubwaaa
  9. mimi.mimi

    Maziwa ya mgando kwa mtoto ni mazuri?

    king ngwaba inamaanisha nini coz nivizuri ukasema ukweli,
  10. mimi.mimi

    Maziwa ya mgando kwa mtoto ni mazuri?

    naombeni ushauri mwanangu ana mwaka na mwezi mmoja. anapenda sana maziwa ya mgando, Je !ni mazuri kwa kunywa mtoto ? hayana shida, au niache kua nampa
  11. mimi.mimi

    3 Idiot : Indian movie

    mm nilimpenda sanaaaaa yule profeser
Back
Top Bottom