Habari zenu wapendwa nashona mabegi yenye picha mfano watoto WA shule naweka picha yake Jina na cartoon anayopenda pia mabegi ya company au shirika karibuni Sana
What's aap au call 0716973403
Wapendwa nauza nguo za watoto nzuri jumla zipo chache nilikuwa nauza sasa naondoka Tz kwa atakae hitaji..serious buyer only nichek whatsaap 0716973403 kwa picha za nguo
Habarini,
Samahani naomba anaejua routing number za CRDB BANK wao wana nipa CORUTZTZ ambayo ni swity code lakini ili niweze ku trasfer pesa paypal wanataka routing number ambazo zina kuwa 8 tafadhali msaada jamani.
Inategemea operation is the best way japo pagumu mm nliambiwa op nkagoma nkanywa dawa ikasaidia so its depend kama imekuwa kwa kias kikubwa.....kamuone doctar kapona yupo chanika ni best doctar mkeo ata concive tu
Habari zenu wakuu
Nauza mikoba ya wadada na wakina mama jumla na leja leja aina tofauti tofauti
Karibuni
Mawasiliono 0765650028 whatsaap
0716973403 call
Nipo dar es salaam
Hapana ukipima sperm analysis pH na hizo parameter zingne zote zipo ndan ya sperm analysis na hakikisha ukienda kupima lazma wakuandikie hizo paramiter zote sabab ndo sheria kitaalam...
Kupima sperm analysis ni sh.elfu 35 pale TMJ lakin sehemu nyingen inaweza kuwa bei zaid au pungufu inategemea...
Sperm analysis means unaangalia parameter zifutaazo
1.volume-hii unaangalia wing wa sperm yaan ujazo kwa kawaida ni 2-5mls
2.colour-rang ya sperm
3.viscosity-hii ina maana mnyambululiko wa semen je ina vutika au ina katika katika..kwa kawaida ni lazma ifike 2cm
4.ph-kupima kama ni alkalin au ni...
*DESING AND PATTERN MAKING WORKSHOP TRAINING* POP UP FASHION inatoa mafunzo ya kudizaini nguo mbali mbali pia inatoa mafunzo ya upimaji wa nguo,kujua aina mbali mbali za mishono,nk Mafunzo haya yataendana na vipengele vifwatavyo
MODULE 01 *INTRODUCTION* 1.Taking measurement(size) 2.Drafting the...
*DESING AND PATTERN MAKING WORKSHOP TRAINING* POP UP FASHION inatoa mafunzo ya kudizaini nguo mbali mbali pia inatoa mafunzo ya upimaji wa nguo,kujua aina mbali mbali za mishono,nk Mafunzo haya yataendana na vipengele vifwatavyo
MODULE 01...
Karibu kampuni ya Rifaro Africa ujipatie kipato cha ziada..mm ni mfanyakaz kama ww mshahara wangu ni sh. Lk4 lakin tangu niingie katika biashara hii napata sh lak 5 au 6 katika week mbil au tatu na sijaacha kaz kilicho nifanya nifike hapa ni juhud pia kujiamin kwa kile nacho Fanya..
Karibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.