Search results

  1. N

    Are you seriously seeking for a job!!!Ona hii

    nionavyo mimi ni kwamba atakuwa amefanya direct response to the job advert kwa kutaja requirements na tasks za kwenye tangazo akidhani kwamba itakuwa impressive.
  2. N

    Faida Za Kuwa Mama Wa Nyumbani

    Sorry to say this, but the post is kinda loaded with male chauvinism ideas. And for the era we livin it's utopia. Nice writing though
  3. N

    Nilichokishuhudia leo...!

    uvugizi umesahau na mwiko wa gereza!! acha kabisa, ukiupata huo hoteli yako itauzaje? huu uzi kiboko!!
  4. N

    Nilichokishuhudia leo...!

    Somoche achia mbavu zangu bana. ila wenye nyumba wanyanyasaji jamani.
  5. N

    JF is my homeland

    nakupa moyo sana ngumbuke, ukiamua kwa dhati hakika utaweza. hii nchi imejaa fursa we usipime. huoni wageni wanavyoikodolea macho,ona hata viongozi wetu walivyochanganyikiwa mpaka wamebaki kununua ma ekari ya ardhi kila uchao? kila kiti kiko hapa nyumbani. utavuka amini.
  6. N

    This is Really the Home of Great Thinkers...

    Mkuu Kivumah karibu sana, ukiingia huku unanasa. karibu sana
  7. N

    You Entrepreners, Ni kwa nini Wagiriki walikuwa wakichoma Meli zao Moto? Vipi wewe waweza Choma?

    ni maamuzi magumu kwelikweli. kuna siku nikiwa kama mpitaji tu wa jukwaa hili(not a member by then) nikaona kuna mdau mmoja kachangia uzi, yeye alisema alipiga mahesabu current mshahara wake times ten years jibu halikufika 100million. dah nilivyopiga wa kwangu haukufika 90 million. dah sitasahau.
  8. N

    You Entrepreners, Ni kwa nini Wagiriki walikuwa wakichoma Meli zao Moto? Vipi wewe waweza Choma?

    hapa naomba kukazia kidogo--ni kwamba: hata wewe mwenyewe ukifail haimaanishi kwamba hiyo idea sio workable. not at all. unaweza ukarudia hata mara kadhaa mpaka kieleweke. kuna watu walejipinda saan in many many trials mpaka waka invent vitu ambavyo mpaka leo hii ni solution kwa ulimwengu, labda...
  9. N

    You Entrepreners, Ni kwa nini Wagiriki walikuwa wakichoma Meli zao Moto? Vipi wewe waweza Choma?

    ni kweli sana mkuu Red Giant. Hata dhana nzima(sasahivi profession) ya Project Management ilianzia majeshini. majeshi yame experience changamoto na failures nyingi in their operations ndipo wakaja na tafiti na mbinu za kufikia lengo la vita. na hii ya kuchoma meli moto ufukweni ni mbinu...
  10. N

    You Entrepreners, Ni kwa nini Wagiriki walikuwa wakichoma Meli zao Moto? Vipi wewe waweza Choma?

    Tilly ulilipua? nimependa hii. share your experience please. mleta uzi asante sana. jamani kujifunza hakuna mwisho.
  11. N

    You Entrepreners, Ni kwa nini Wagiriki walikuwa wakichoma Meli zao Moto? Vipi wewe waweza Choma?

    hapa umegonga penyewe, mi nilivyochoma meli moto sikutangaza kwenye ndoa, mazingira hayakuruhusu. mwenza haamini katika ujasiriamali kama mimi. huu uzi umezidi kunionesha ni jinsi gani hii hatua ni ngumu. sasa yule aliechoma vyeti moto sijui alianzaje!
  12. N

    You Entrepreners, Ni kwa nini Wagiriki walikuwa wakichoma Meli zao Moto? Vipi wewe waweza Choma?

    ni kweli kabisa mkuu Sometimes, yani ukikutana na risk kwenye practise lazima tu utapata suluhu. utai calculate huko huko na ku isolve hukohuko. hii topic bab kubwa aisee.!!
  13. N

    You Entrepreners, Ni kwa nini Wagiriki walikuwa wakichoma Meli zao Moto? Vipi wewe waweza Choma?

    Mkuu hivi kweli huyu mtu yupo(aliechoma vyeti moto). Ningependa kumuona aisee. Kweli no retreat. NAshukuru kwa ufafanuzi huu wa kina mkuu
  14. N

    Fatilia mwanzo wa ndoto yangu ya kumiliki shule

    safi sana Eberhard, wewe ni mtu wa kutoa results enh? huna maswali wala hutaki maoni! some character! barikiwa sana mkuu.
  15. N

    Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

    atajijua navyochinjwa ila naskia anapigwa shoka la kichwa. chamsingi afike mezani. Mungu ni mwema, na wema wake ni wa ajabu.
  16. N

    Madhara ya kula nyama ya Nguruwe/Kitimoto kwa afya yako...

    teh teh, kweli Asprin...hata maleria haikubip!!
  17. N

    Ombeni mtapewa, tafuteni mtapata, bisheni mtafunguliwa

    Mkuu Inkoskazpole sana. kiri uponyaji nawe utapokea.
  18. N

    Baada ya kuangalia mawazo ya watu mbalimbali humu JamiiForums, nimeona nianze hivi...

    Chasha mimi kilichonikera sana kwenye kuajiriwa mpaka kufikia kuuona ni utumwa ni ile hali ya expenditure yangu kudhibitiwa na mtu mwingine. Hata kwenye ajira binafsi expenditure iko controlled lakini i love the difference: that i am now the controller. na hakuna kitu kilikuwa kinaniboa kama...
Back
Top Bottom