Looking for some one who can customize my website, into a professional look of e commerce website. Website ready working(installed), not yet customized into online shopping quality look website. contact olomison@yahoo.com
mba in finance kaka coz ina management ndan yake na inakupatia nafasi nzuri ya kuha kuwa CEO wa kampuni. Ni tofaut na msc in finance ambayo inakosa mgt which is a key to any manager
Jaman wangwana mi natumia sumsung galaxy mini S5570 nmeinstall program chache lakin inanikera na neno phone storage is getting low ! Nashindwa ku install application nyngne na pia hata nikianza kuperuz JF ina vibrate na kunikomand ni close application. Plz nisaidien tatizo hili linanikera.
Hapo riziwan anahusika "! Mana sa hiv ndo anawatumia wasanii weng kwenye deal zake. Hapo kessy hamna, wana JF yenu macho. Deal nzima ipo nyuma ya kigogo, masogange ni rafiki yangu ila kwa navyo mjua hana hela yakusambaza kuhonga airport zote ulkopta na hela ya kununua hzo kg. Bil 6.8 si hela...
Hyo ni tetesi hazjathbitika. Tukifanya hivyo kila mtu anazusha yake, basi ujue mantiki wa habari za kweli na uongo hautatofautshwa. Ifke mahal JF iwe ni chanzo cha uhakika wa habari za kweli na uhakika. Na tutafanikiwa kwa kuonyana sisi wenyewe. Au mnapenda ifke mahali habar kabla ya kupostiwa...
Watu wengne wana mambo ya kike kweli kusema tanzania daima ni udaku toka lini!?" wangwana jibuni hoja si kujiropokea kama barmed aliyelewa. Shuwaiini....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.