Inategemea Biblia unaisomaje, je unaisoma kama gazeti la udaku ama vipi? Ukiisoma Biblia kwa jinsi hiyo kamwe huwezi mshinda yule muovu.
Rejea: Mathayo 4:6-7, majibizano kati ya shetani na Yesu kuhusu maandiko Matakatifu.
Hahahaha kavulata aka kaharufu kabeberu...!!! Mzee wanawake ni wasaidizi kwetu, usifikirie game tu angalia shughuli ya kule leba utajua. Pia sampuli wanazokutana nazo hawa watu dah kiukweli Mungu amewapa uvumilivu wa hali ya juu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.