Sisi watu wazima wenye experience ya haya makitu tunakushauri kijanaACHANA NA HUYU MWANAMKE.
atakuumiza sana ukiendelea kukomaa nae,
kwanza unajidhalilisha ujue kuendelea kujionyesha how much umeoza kwake na umekwama......mapenzi yapo tuu, ila kama mwanaume unatakiwa upende nawe pia...
Women aint smart! THAT IS A FACT!!!!!!!!!!!! Very very few, 2 out of 100 MAYBE smart! But on average women are dull. That has been the statistics centuries and centuries of men reign! Hata ukitizama ulioanza nao shule wangapi wanawake wamefika kokote? Like really kushika nafasi za kumake...
someni shule punguzeni starehe na mibangi
vijana wa leo unakuta akipata boom anahamia kwa pombe na ngono
boom likikata ndo anaanza kusoma huku hana hata uhakika wa lunch!!
ukidisco ulalamike!!
PURITENDAAAAAAA WAKUBWA(I MASANJA'S VOICE)
umjue zaidi wakati ushammimba!!!
acha utoto, toa mahari uoe
hayo ni matokeo ya zinaa, usikimbie, kumbatia kama ulivyofanya mpaka ukamtia mimba
halafu huyo mdada ana hasara kweli.....hujielewi
Naipenda sana hii gari, muonekano wake tuu.
sina uzoefu na magari maana ndo hii ya kwanza nataka ninunue
mazingira yangu ni barabara vumbi na mashimo ya hapa na pale
naombeni mnipe uzuri wake
ubaya/matatizo yake pia ntafurahi kuyapata.
ila kiukweli naipenda kutoka moyoni.
na je, ninunue...
i missed u big time@LALA 1
nakuunga mkono
ukiolewa na kapuku siku akizikamata anatafuta wa kutumia nae, eti wewe umezeeka, huna mvuto wa kutoka nae out!!!
i missed u big time@LALA 1
nakuunga mkono
ukiolewa na kapuku siku akizikamata anatafuta wa kutumia nae, eti wewe umezeeka, huna mvuto wa kutoka nae out!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.