Wakuu naomba kuuliza,
Hizi Zain Tanzania ina ma-marketing manager wangapi?..mimi nawafahamu wanne au ni mabadiliko yanatokea na wengine kuhamishwa vitengo...au na hii ni mojawapo ya sababu ya hiyo programu kata vichwa?..
Watanzania bwana!....
Ponjoro kazaliwa zake NEW DEHLI kapita upanga dar on his way to US, leo mnamwita kijana wa kitanzania, watanzania acheni tabia ya kujikomba.
Watanzania nani kawaroga?
Umeme wenyewe mbona Tz hakuna, unaongelea one hour, tz mgao ulitangazwa kuwa masaa manne then masaa manne mengine, jumla masaa 8 kwa siku, lakini leo wamekata umeme kuanzia asubuhi saa nne na hata sasa saa kumi na mbili jioni umeme haujarudi, vipi kule nanjilinji kwenye vibatari wazime...
Kale kalikizo kameisha ghafla,uzuri wako huwa unaaga lakini huwa unarudi kimya kimya... hii ndiyo JF utaandika tuu...karibu jukwaa la SIASA wazee wa sauti za ........tuendelee kumkoma nyani hata kimya kimya.
Idume JF.
Kuna habari kwanba mkoani Mbeya hivi sasa kuna mauaji yakutisha, mauaji hayo yanasadikika kuwa ni ya imani zakishirikina, wafanya biashara wa mabucha ya nyama ndiyo washirika wakuu, inasemekana kuwa nyakati za usiku huwavizia watu nakuwaua na vifaa wanavyo tumia mabuchani na baada ya hapo...
Ustaarabu kitu cha bure ndugu yangu, kama hii thread inakutatiza nenda kwenye thread nyingine AU anzisha thread yako yenye mada unazotaka.
Hayo mambo yako hayasaidii chochote.
Hii mada itasaidia watu wengi humu ndani.
Ni hayo tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.