MUME WANGU
Member
- Mar 25, 2009
- 24
- 0
Kuna habari kwanba mkoani Mbeya hivi sasa kuna mauaji yakutisha, mauaji hayo yanasadikika kuwa ni ya imani zakishirikina, wafanya biashara wa mabucha ya nyama ndiyo washirika wakuu, inasemekana kuwa nyakati za usiku huwavizia watu nakuwaua na vifaa wanavyo tumia mabuchani na baada ya hapo huvipeleka vifaa hivyo kwa waganga wa wakieji ili mauzo yao yaongezeke, vifaa wanavyotumia kuulia watu mara nyingi ni zile hook zenye sharp end zakutundikia nyama mabuchani...mwenye taarifa zaidi atujuze