Jamani ishu sasa sio tetesi tena coz habari nzima ipo gazeti la Mwananchi, tembeleeni ukurasa wa pili utaiona hiyo habari....its absolutely true guys...!
Hayo ndo matatizo, mbona habari yenyewe haieleweki maana inaonekana kama imeegemea upande mmoja tu. Acheni uchochezi kama kazi hamna si mkae nyumbani kwenu mle ugali na mboga tu, damn it!
Kwahiyo we umeona chadema ndo watatua tatizo hilo? Tatizo hili haliitaji siasa, hapa ni uwajibikaji ndo unaotakiwa maana hata kwa chadema mambo yanaweza kuwa yaleyale coz kwenye msafara wa mamba hata kenge wapo, mafisadi hawakosi kila chama ...I hate politics!
Ukweli ni kwamba usafiri nafuu TZ ni TRAIN(Gari moshi) ambapo mimi huwaga naenjoy sana ninapo safiri kwa kutumia usari huu. Najua kuna watu wataniona kama katuni ila kwa wale watu wa Tabora, Kigoma ,Mpanda n.k wataniunga mkono..USAFIRI WA TRAIN unanipaga raha sana kwa sababu kuna usalama wa aina...
Wadau mi nlkua nataka mninform hv kuna ukwel wowote kuhusu 4m 6 waliomalza mwaka huu ambao hawakupata fursa ya kwenda JKT wataenda kw awam nyngne hv n kwel au rumaz 2?
Jaman mi naona soltn n kukp kmya maana matokeo ya 4m 6 yamekua km mvua ya kiangaz ambapo wa2 wanaisubr inyeshe..BUT,guyz naomba mnijulshe hv n kwel zoez la kwenda JKT n lazm kw 4m 6 walio home kw sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.