Wakuu za mchana? Niombe kuuliza wapi naweza kupata vidonge vya Giseng kwa hapa Dar. Sina maelezo ya kutosha ya hii bidhaa, ila kwa kifupi nimeona katika vyanzo mbalimbali kuwa inaboresha mifumo yote ya mwili.
Kwa anayejua kuhusu upatikanaji wake, bei na uzoefu tunaweza kupeana updates hapa...
Wakuu za jioni?
Niende kwenye mada bila kupoteza muda. Kuna kibanda nimejenga mahali na nimempiga vizuri tu. Tatizo lililopo ni mchwa wanaojipenyeza na kutukezea juu.
Niombe mwenye kujua dawa ya kuwaangamiza hawa wadudu kabla ya kuleta uharibifu mkubwa.
Nianze kwa kuwatakia salumu nyingi za jioni, na wale wafuasi wa Simba, happy Simba day.
Niende moja kwa moja kwenye mada, kuna nyumba yangu nataka kuiweka madirisha ya aluminium ila bado sijapata mwafaka wa bei. Madirisha yapo 14, kati yake makubwa ni 10 huku mengine yakiwa ni madogo.
Kwa...
Amani iwe nanyi.
Natafuta mtaalam wa kuchora ramani anayeishi Dodoma. Kuna eneo nataka kujenga vyumba vichache kwa akili ya biashara.
Kwa mwenye sifa hizo tuchekiane inbox.
Kuna utafiti/ andiko nataka kufanya kuhusiana na sheria za mabenki hasa hasa katika realisation ya securities. Naomba mwenye vitabu au kesi zozote tuwasiliane hapa.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichwa cha habari hapo juu chahusika, ninaomba kama kuna kijana ambaye ni technician wa civili engineering ambaye yuko mkoa wa Iringa au mikoa ya jirani tuwasiliane. Kuna biashara nataka kuianzisha ila bila ya kupata mtu mwenye ufahamu kidogo katika eneo husika, naweza kupata shida kidogo...
Kichwa cha habari hapo juu chahusika, namtafuta kijana ambaye ni technician na mwenye uzoefu kidogo kwenye construction industry ( civil engineering). Awe mtu wa kazi kweli kweli, mwenye sifa hizo anicheki inbox, tuongee kuhusu kuanzisha biashara ya vile. Nipo iringa kwa sasa na itakuwa rahisi...
Natafuta msichana atakayekuwa mchumba wangu, vigezo awe mweupe, mrefu name mnene wa wastan. Elimu angalau diploma hata kama huna kigezo cha elimu kama uzuri upo wewe tiririka kwa pm , Nina mshahara mzuri na posho. Waswahili , waarabu na wazungu kazi kwenu, pm zote zitajibiwa
hi kwa wote, naomba kuulizia tiba ya ugongwa unaowapata wanaume ambao unaitwa pearly penile papulace. Kwa kifupi unakuwa na vipele kuzunguka kichwa cha uume na hauambukizi na wala sio ugonjwa wa zinaa. nitashukuru xana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.