1.Jean Baron -Batchi (i.e Tournez Manege)
2.Ottu - Kimanzichana.
3.Nyimbo fulani Awilo Longomba kashirikishwa ina kama kionjo cha wimbo wa Michael Jackson cha who is bad
Kwa wale walosoma miaka ya tisini mwishoni na wale tulokuwa pale miaka ya 2000 - 2007 wanamfahamu vizuri....
Wajadi alikuwa mmoja wa walimu waandamizi wa somo la Book keeping na Commerce hasa book keeping...Pia alikuwa miongoni mwa Ma-patron na walimu waliounda kamati ya nidhamu ya...
Sheikh maslahi tena anamfanyia hila Muislam mwenzie ,kwani kuna baya CAG aloongea ....Sheikh muogope Mungu wako njaa itakupeleka pabaya....
Sent using Jamii Forums mobile app
Msomi hujanielewa , Sikumaanisha shahidi kuhusishwa katika shauri,niliulizia suala hilo ktk kuuongezea nguvu mkataba huo wa kilaghai ulofanyika ya kwamba ni kweli umefanyika...
Mimi niloulizia hawakuambatanishwa kama washtakiwa ni hao wawili chini ktk maelezo yake ambao wameshirikiana na hao...
Je katika hayo mauziano na ww ulikuwa na shahidi wako aloshuhudia mkiingia hayo makubaliano ?????
Ilikuwaje hao wawili hapo chini hawakuambatanishwa katika hilo shauri ???
Fuatilia kwa ukaribu sana shauri lako usije ipoteza haki yako,
Kwa nini nguvu kubwa inatumika kukanusha ...hii inatufanya raia tusio ktk mrengo wowote wa kisiasa tubaki tukijiuliza..tuki-refer suala la EPA ..kulikuwa na mvutano kama hv juu ya fedha ni za nani hasa..mwisho wa siku tukaona kilichotokea
Wiki hii ndio msemo wa elimu ndio mkombozi wa maisha ,pamoja na elimu haina mwisho umepata mtikisiko baada ya kamali katika vibanda vya betting kupata sehemu rasmi,na huo muongozo ndio umeenda kuharibu kabisaaa, nikimfikiria yule mtoto alopata umaarufu wiki hizi mbili kutoka kule Ngara najiuliza...
Kuna shule zina zipo vituo vya mabasi vinafanya vizuri، unahamasisha adhana izuiwe Ila vilabu vya pombe vipige miziki sauti hadi mwisho mpaka usiku wa manane, unadhani Rwanda hii. Hii nchi yetu sote..kwa jinsi waislam walivyokosa Imani na Bakwata licha ya awamu hii ilivyo na ukaribu nayo kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.