Wadau wa JF nifanye nini baada ya ku miss tarehe ya interview jeshi la polisi kwa wenye taaluma, Tangazo la kuitwa nimeliona tarehe 05 Sept 2015 wakati wao deadline Yao tarehe 04 Sept 2015 msaada tafadhali wadau 0753467001
Wadau wa JF habari naleta kwenu ombi langu la mtu yeyote atakaeweza kunisaidia kupata kazi viwandani kwa hapa Dar, kazi iwe yoyote kiwanda chochote nifanye kazi kama kibarua
Wakuu wa JF!
Mimi ni kijana miaka 21(me), nimemaliza Ordinary Diploma ya Civil Engineering mwaka huu natafuta sehemu ya kufanya kazi ya kujitolea lengo kubwa likiwa ni kupata uzoefu wa kazi.
Kwa Sasa napatikana Dar ila hata mkoani naweza...
Wakuu wa JF kama mnavyojua kupata kazi imekua ngumu mimi ni kijana (me) natafuta kazi yoyote Ile halali nipo Dar naamini humu Kuna watu wanaweza kutoa msaaada uwo kwa kijana kama mimi
Wakuu wa JF kwa anae fahamu kampuni lolote la private linalo jihushisha na shughuli ya testing ya materials ya ujenzi naomba taarifa, Nina kazi ya kufanya testing ya aggregate. Mawasliano yangu 0753467001
Habari wadau wa JF,
Mimi ni mwanafunzi ngazi ya diploma ya uhandisi ujenzi. Sasa hivi tupo kwenye project final year sasa project yangu inahusu masuala ya barabara ya Moro ndio nikakutana na swali hilo hapo juu.
Wadau wa JF nimechaguliwa kozi ya Health distrct management sasa sijaielewa hii kozi inakuaje, nafasi zake za ajira ziko vipi?? Na pia hawa ndo watu gani??? Mm sikuichagua nilichagua crinical medicine naomba ushauri wako ..... Nikasome au nitafute nafasi nyingine
Wadau mm n mwanafunz wa mwaka wa pili chuo cha civil engineer sasa kuna inshu ya TITTlE kuhusu project kwa level ya Diploma naweza kufanya project gan.?? Unaweza nipa idea au ukadondosha number yako ya cm me nikakupigia tukawacliana...... Kwa sasa nipo Dar
Wana jf msaada plz jinsi ya ku install whatsapp kwa nokia Asha 200 kuna uzi niliuona humu unahusu hii kitu lakin najaribu kwangu inashindwa nipo mbez mwisho
habar zenu wana jf.... Me natafuta chumba cha kuish (kupanga) single room.Me nipo Misungw kwa sasa kama upo misungw una info zozote plz tuambiane coz misungw madalali hakuna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.