Search results

  1. mwaikenda

    Haya ndiyo madudu ya sadifa m/kiti wa uvccm na mwanafunzi wa school of law.

    Mwenyekiti wa UVCCM Taifa bwana Sadifa ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Sheria( School of law) ameonyesha namna ya chama cha Mapinduzi na baadhi ya wafuasi wa Chama hicho kwa kupenda rushwa. Pale Chuoni kuna uchaguzi wa kumtafuta Makamu wa Rais wa COHORT ya 16 ambao ulitakiwa ufanyike tarehe...
  2. mwaikenda

    Hiki ndiyo chanzo cha Mh.Lissu kuwa mkweli juu ya Mwalimu Nyerere

    Wakati wa Operesheni Vijiji ilitokea mvutano wa kuhama. Baba yangu pamoja na wazee wengine walisafiri kutoka kijijini Singida wakaja Dar es Salaam kulalamika. Walilalamika kwamba tunatakiwa tuhame kwenye kijiji chenye mashamba makubwa. Wakaja kupiga kelele na serikali wakati huo iliwasilikiza...
  3. mwaikenda

    Yajue Maeneo ya kanuni za Bunge ma ambayo CCM walikuwa wanayapigia Chapuo lakini wamedondokea Pua.

    Wana jamvi. Nichukue Fursa hii kwanza Kuishukuru Kamati ya Kanuni ambayo imefanya Kazi kubwa sana huku Utundu Mkubwa wa Kujisomea na utaalam wa Hali ya Juu wa Tundu Lissu ukijionesha Bungeni( kauli ya Ismaili Jussa). Kanuni hizo ambazo Bunge Maalum limepitisha jana CCM walikuwa wakipigia...
  4. mwaikenda

    Yah: Kanuni za Bunge la Katiba na Mustakabali wa Katiba mpya.

    Kwa kuwa kazi ya kuteua wajumbe wa katiba imeisha baada ya Rais kutangaza majina ya wajumbe hao japo kwa macho tu wengi wao ni wana CCM wakomavu jambo ambalo ni vigumu kusema katiba hii itakuwa na maslahi ya Kitaifa. Kwa msingi huo kilicho baki sasa ni namna ya uendeshaji wa Bunge hilo ambalo...
  5. mwaikenda

    Anna Abdalah alipitishwa na Taaisis ya URINGO kuwa mjumbe wa Bunge la Katiba

    Taarifa Rasmi kutoka kwa Mwenyekiti wa URINGO zinasema kuwa Anna Abdalah alipitishwa na Taasisi ya Wanawake wenye uwakilishi Bungeni ijulikanayo kama URINGO. Itakumbukwa kuwa Anna Abdalah ni Mbunge wa Jamuhuri ya Muungano ambaye anaingia kwa Wadhifa wake na cha ajabu kapendekezwa tena na...
  6. mwaikenda

    Mwigulu aanza Ziara ya Kukutana na wafanya Biashara Nchi nzima kwa kila wilaya.

    Taarifa rasmi zinasema kuwa Naibu Waziri wa Fedha kwa Upande wa Sera ameanza Ziara Rasmi ya kukutana na Wafanyabiashara Katika kila Wilaya. Jana tarehe 30/01/2014 alikuwa Njombe ambapo alifanya kikao hicho na Wafanya Biashara hao na hivi leo navyo andika Uzi huu yupo Songea Mjini. Kwa kifupi...
  7. mwaikenda

    Mbowe amekuwa ni Kiongozi Mwenye Busara sana mara arushiwapo Makombora.

    Nimekuwa mfuatiliaji sana wa Siasa za Upinzani hapa Tanzania hususani Chadema. Mh. Mbowe amekuwa akitumia Busara kubwa sana katika Siasa ambayo wanasiasa wengine hawana na hiki ni Kipaji pekee ambacho kwa Mtazamo wangu naona mungu kamjalia. Kipaji hicho ni cha kukaa kimya pale ambapo...
  8. mwaikenda

    Chadema na Utawala katika Majiji Makubwa hapa Nchini

    Hapa nchini Chadema imeonesha uwezo Mkubwa na nguvu kubwa sana katika kutawala Majiji makubwa. Mbeya mjini......Sugu Arusha mjini.......Lema Mwanza(Nyamagana)....Wenje Dar......Mnyika na Mdee. Hii ni Ishara tosha kuwa wakiweka mkakati mzuri wa Ushindi Mwaka 2015.
  9. mwaikenda

    Urais wa Tanzania ni sawa na Urais wa DARUSO

    Kwa wale tuliosoma pale Mlimani Udsm mnafahamu wazi kabisa kuwa Siasa za Daruso na tabisa yake. Lakini kikubwa ni kuwa siasa za pale zina tabia kubwa moja za kutafuta umaarufu hasa wa kuorganize mgomo kwa madai yoyote yale ndiyo mtu unaonekana unaweza ila si kwa kujenga hoja pale Rev. Square...
  10. mwaikenda

    Albert Msando apotoka tena

    Wana Jf, Naomba ieleweke kuwa Katiba ya CHADEMA toleo la mwaka 2006 ndiyo msingi mkubwa wa kuendesha taasisi. Ufafanuzi uliotolewa leo kwa vyombo vya habari na Wakili Albert Msando ni upotoshaji mkubwa wa Katiba ya Chadema na hii inatokana na aidha uelewa mdogo wa Katiba hiyo na/ au ni...
  11. mwaikenda

    Upotoshaji wa Albert Msando wakili msomi katika taarifa yake kwa vyombo vya habari.

    KIFUNGU ALICHOTUMIA ALBERT MSANDO KUTOA UTETEZI WAKE JUU YA KANUNI ZA KATIBA ZINAZO ELEZA HATUA ZA KINIDHAMU ZA KATIBA YA CHADEMA NI VYA ZAMANI NA KULIFANYIKA MAREKEBISHO MWAKA HUU NA BARAZA KUU TAREHE 28/01/2013 na MAREKEBISHO HAYA WAKILI MSOMI ALIKUWA HAYAJUI KABISA KWANI ALICHO KIZUNGUMZA...
  12. mwaikenda

    DCI Manumba astaafu, Kamishna Isaya Mungulu Mkurugenzi mpya wa Upelelezi

    Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba amestaafu rasmi utumishi wa umma baada ya kufikia umri wa kustaafu kisheria wa miaka 60. Manumba aliyeanza kulitumikia Jeshi la Polisi miaka ya 1970, nafasi yake itashikwa kwa muda na Mkuu wa Ufuatiliaji na Tathmini (CID)...
  13. mwaikenda

    Uchambuzi: PAC haina mamlaka ya kisheria kuwawajibisha Makatibu wakuu wa Vyama vya Siasa

    UCHAMBUZI WA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, SHERIA YA UKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI NA. 11 YA MWAKA 2008"Public Audit Act 2008", SHERIA NA. 5 YA VYAMA VYA SIASA 1992 PAMOJA NA MAREKEBISHO YAKE YA MWAKA 2009. Ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali iliundwa chini...
  14. mwaikenda

    Nahitaji kujua msimamo wa serikali tatu umetolewa na watu gani maarufu na taasisi zipi au Makundi.

    Wanajamvi. Naombeni msaada wenu kwani najua wengi wenu mmefuatilia kwa makini sana juu ya Ukusanywaji wa maoni na mapendekezo ya rasimu ya katiba mpya. Nahitaji kujua mpaka leo ambapo ni deadline ya kupeleka maoni hayo je Taasisi zipi na ni ngapi na watu maarufu wepi na wangapi kwa maana ya...
  15. mwaikenda

    Napinga uteuzi wa Prof. Sifuni Mchome kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu

    Wasifu wa Prof sifuni Mchome nimeanza kuujua pindi nipo katika kitivo cha Sheria pale Udsm aalifanya madudu yafuatayo. 1. Mwaka 2007 waliokuwa second year ya mwaka 2007 kitivo cha sheria wakati huo yeye akiwa Dean wa Faculty walidisco wanafunzi 25 kati ya 150 sitaki kuamini kama kweli wote...
  16. mwaikenda

    Zitto kufanya ziara ya kichama na Msafiri Mtemelwa mikoa mitano nchini

    Habari za uhakika toka kwa Msafiri Mtemelwa ( ambaye kwa sasa si mkurugenzi tena) zinasema kuwa Mh. Zitto Kabwe anakusudia kufanya ziara ya kuimarisha chama mikoa 5 hapa nchini na hii inatokana na yeye kujitenga katika ziara ya Chopa katika mabaraza ya katiba mpya. Taarifa sahihi zinasema kuwa...
  17. mwaikenda

    Tendwa aionya tena CHADEMA...

    Na Jennifer Chamila, MAELEZO Msajili wa vyama vya Siasa nchini amewaasa wanachama na viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutumia muda wao kufanya shughuli za siasa ili kuchangia maendeleo ya nchi badala ya kutumia uwezo na muda wao kubuni mambo yanayoleta mtafaruku...
  18. mwaikenda

    green guard wafanya mazoezi ulanga-Mahenge

    Wanajanvi, Habari za Uhakika toka Wilayani ulanga Mhenge vijana wapatao zaidi ya mia moja wa Green guard wanafundishwa mazoezi ya ukakamavu ambayo mafunzo yake yana elements za kimgambo. Taarifa sahihi ni kwamba wapo eneo la Magamba- Mahenge katika jimbo la Serina Kombani. Na mara nyingine...
  19. mwaikenda

    Kuelekea Uchaguzi wa BAVICHA: Nani kuwa Mwenyekiti wa Taifa?

    Wanajamvi. Uchaguzi wa Bavicha unatarajiwa kufanyika mwaka huu mi napendekeza Mwenyekiti anayefaa wa kumrith John Heche ni Laurent Mngweshi Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa wa Katavi. Twende kazi.........................we unaonaje
  20. mwaikenda

    Is chagonja and his wife credible? U must read here

    WAKUU: 1. Mtakumbuka kuwa hapa nchini kulikuwa na kashfa ya mke wa kamishna wa polisi mwandamizi aliyejipatia kipato kwa kuwalaghai vijana nchini kuwa watoe pesa ndiyo awatafutie ajira usalama wa taifa na katika jeshi la polisi. mke huyo ni wa chagonja lakini kwa kuwa nchi hii inaendeshwa...
Back
Top Bottom