Acheni upuuzi wenu humu unategemea polisi wana anzia wapi kama sio kwa dereva wa Lisu nani wataanza kumhoji, wakati yeye ndo alieona gari inamfuatilia boss wake..
Mbona mnakua na akili za kuvukia barabara tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio hua nashindwa kuwaelewa chadema, kila kitu mnaweka siasa, hivi kama serikali ingekua na mpango wa kumuua kupitia madaktari hao walomsaidia hapo Dodoma sio madaktari wa serikali..?
Yaani wangesubiri hadi apelekwe muhimbili..? Acheni siasa za kizamani hizo tuvipe nafasi vyombo vyenye...
Kweli chagadema ni mburula, hayo maigizo yenu ndo mtatuletea povu humu,, unazani kama wauaji wangekua wamezamilia saivi Lisu angekua huko aliko, acheni basi kupumbaza watu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.