Tatzo La baadhi ya madhehebu yanajfany kuifahamu vzr biblia kumbe hkuna kila siku ni kuwatukana madhehebu mengne,ndo maana binafc n ngum sana kunitingisha kwenye imani yangu,,,,SIAMINI KWENYE KANISA LILILOANZSHWA NA MWANAMKE......inaitwa impossible future tense
Mkuu asnt kwa elimu swali langu ni kumekuwepo na maandishi mengi kuhusu mti wa MLONGE na faida zake ,je kuna athari yoyote ukitumia mti wa mlonge iwe mbegu,mizizi au unga wake nalmba msjibu dr wangu!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.